hawako sahihi hata kidogo. sheria yetu ya mikataba iko wazi inaeleza kwamba mdai afidie deni lake kwanza kwa mdaiwa ikiwa ni pamoja na kuuza dhamana za huo mkopo. endapo dhamana haitadischarge huo mkopo ndipo guarantor atawajibika. benk hawako sahihi kukuwajibidha ww kwanza. na cjui km mmewah...
sheria ya ndoa mwaka 1971 na marekebisho yake 2002 inatambua km kuna ndoa dhania yaan pressumption of marriage endapo mmeishi km mke na mume ndani kwa mda wa miaka miwili. mda wa mwaka 1 mlioish pamoja hautoshi kutumia sheria hii. pia endapo akijiua ikiwa ww utamwacha kwa opinion yangu sioni km...
scania ziko vizuri zaidi na speed ni kubwa. mf. leina tours bus ni hatari inaenda kahama yutong haifuati
hii basi wanaiogopa. pia kuna bus inaitwa city boy nayo inaenda kahama ni hatari. mm nilisafiri na new force ni u tong mpya hawa jamaa wawil hapo juu waliitesa sana hii yutong. soscania...
Niwewahi kudate na mwanamke wa anayecheka wakati wa sex. Labda mtoa mada angefafanua anacheka wakati gani. Mimi huyo gal alikua anacheka ukumfikisha( akifika kileleni) na si vinginevyo. kikipata hicho kicheko ufanye kazi si lelemama.
Ndio unaweza kuwashtaki. Ni kosa la jinai kutoa cheki ilihali ukijua account yako haina pesa(insufficient fund) Soma sheria ya makosa ya jinai sura ya 16 ujue nini cha kufanya kabla ya kwenda polisi if not mistaken unatakiwa uwajulishe walichofanya ni kosa so wakulipe ndani ya siku kumi na nne...
Wadau tuipitie ripoti yote kuhusu kifo cha Daudi mwangosi iliyowasilishwa hapo jana na timu maalumu ya uchunguzi kwa Baraza la Habari Tanzana na kisha tuilinganishe na ripoti ya kamati ya Nchimbi. wana JF mwenye ripoti kamili ya Kamati ya Nchimbi anaombwa aiwakilishe tuijadili.
Wanyasa wanapatikana pande zote mbili yaani Malawi kwa upande mmoja na Tanzania kwa upande wa wapili. Marcus kutoka asasi za kiraia akizungumza ndani ya kipindi cha tuongee asububi star Tv amesema hayo. Enzi za utawal wa Hayati Kamuzu Banda aliwahi kudai mkoa wa mbeya ni wake kabla ya...
Jana trh 02/08/2012 SSRA walitoa tangazo kupitia gazeti la Daily news na website yao wakiuarifu umma kwamba fao la kujitoa limesitishwa kufuatia sheria iliyosainiwa na Rais mwezi June 2012. Kwa uelewa wangu nina mawazo kwamba tangazo hilo ni batili kwani mpaka sasa kwa utafiti niliyoufanya...
Je hii ni sawa? yeyote mwenye hiyo sheria iliyotumika kusetisha fao la kujitoa airushe hapa JF pliz
TAARIFA KWA UMMA
KUHUSU KUSITISHWA KWA FAO LA KUJITOA
Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), inapenda kutoa ufafanuzi juu ya mafao ya kujitoa. Ufanunuzi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.