Habari
Kama kuna aliyefanikiwa kujaza hizi form (self form) za kidato cha nne kwaajili ya uchaguzi wa kidato cha tano, kupitia tamisemi (selform.tamisemi.go.tz), naomba anipe muongozo au mwenye taarifa yoyote, mana nimejaribu mara nying bila mafanikio.
Nawasilisha.
Wakati dunia ikiienda kasi kwenye technology hasa mifumo ya kifedha, inayorahisisha malipo, hali imekuwa tofauti kwenye baadhi ya taasisi za fedha nchini.
CRDB hasa kwenye mfumo wao Internet banking, umekuwa na shida za mara kwa mara unaolalamikiwa na wateja lakini hakuna linalofanyika...
Linawezekane likaonekana jambo jema kwako na kwa baadhi ya watu, ila likawa baya machoni pa wengi, dunia hii sio ile ya zamani, watoto walikuwa wanalelewa na mtaa mzima au kijiji. Watu wamekuwa mafisi kwa watoto kwa namna mbalimbali, inaweza isiwe ww ila mwingine.
Kuepusha majanga kaa mbali na...
Malaya wengi siku hizi wanachora tattoo, na baadhi ambao sio malaya nao wanachora pia, ni vigumu kuwatofautisha mana huyo mwanamke haujaishi nae. Ili kujilinda inabid wote uwaweke kundi moja la malaya, Dada akae kwakutulia sio ushamba ila watu wanaokoa nafsi zao
Aiseee, kweli suala la ndoa linaendelea kuwa kitendawili kwa vijana. Haya mambo yanatokea kweli ndani ya ndoa au tunatishana? Anyway, kwa nilichojifunza kwenye kukua kwangu, hapo hauna mke, bali n kikundi cha kigaidi cha mtu mmoja, kitakochokulipua mda wowote.
Sasa kama hauna cha kuongea au kuchangia, yeye afanyaje, huyo kashakupima, kaona hauna la maana unaweza ongea. Jitafakari, mpe sababu ya kukusikiliza, la sivyo, ni mijegeje tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.