Holla VPN na Hide My A$$ (HMA VPN)Kwa yoyote anayejua VPN zenye server Tanzania anisaidie, nahitaji IP address ya TZ.
Au mwenye ujuzi tofauti itakuwa poa zaidi.
Asante
Mkuu unaweza nitajia baadhi ya kampuni kubwa zinazouziwa internet na TTCL hapa TZ?Mobile phones companies in Tanzania are all ISP! Ongea nao! Mkongo wa Taifa unamilikiwa na TTCL. Therefore, TTCL is also ISP ndo anayewauziwa mobile companies. Kuna makampuni mengine hayatumii mkongo (wanatumia satellite) na wengine hawatumii "Seacom ya cairo". Wengine wanatumia via Atlantic ocean hawako affected na TTCL
Tigo, AirtelMkuu unaweza nitajia baadhi ya kampuni kubwa zinazouziwa internet na TTCL hapa TZ?
HMA wanasema wana server TZ.Naona katika wote waliokujibu hakuna alieweza kukuelewa shida yako ni kupata ip address ya Tanzania kwa kutumia VPN.
Sidhani kama kuna VPN yenye server zake Tanzania.
Labda useme unataka kuifanyia nini waweza Pata mbadala
huu ni ukurasa wao wa servers zao, hakuna ya TanzaniaHMA wanasema wana server TZ.
Pia unaweza kuangalia compuni za Residential Proxy, traffic yako inakuwa inadunda kwa watumiaji wa kawaida ziko nyingi zenye IP TZ ila ni gharama zaidi.
Itakua wameitoa but ilkuagepo..huu ni ukurasa wao wa servers zao, hakuna ya Tanzania
VPN Service - Top-rated VPN | Hide My Ass!
A VPN encrypts your internet connection to make it secure. Enjoy our VPN discounts, the best global VPN network, top-rated VPN service for accessing your sites worldwide & online privacywww.hidemyass.com
huu ni ukurasa wao wa servers zao, hakuna ya Tanzania
VPN Service - Top-rated VPN | Hide My Ass!
A VPN encrypts your internet connection to make it secure. Enjoy our VPN discounts, the best global VPN network, top-rated VPN service for accessing your sites worldwide & online privacywww.hidemyass.com