Habari wana Jf,
Nahitaji msaada kwa yeyote anayefahamu eneo lenye mashamba ya kukodisha kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji mikoa ya Arusha na Manyara. Lengo likiwa ni kufanya kilimo cha mazao ya mda mfupi pamoja na mbogamboga.
Natanguliza shukrani
Kwa mawasiliano: 0625644268
Habari wana jf,
Kwa wenye kuhitaji asali ya nyuki wakubwa na wadogo kwa bei ya jumla aliyepo mikoa ya ARUSHA na MOSHI, na MANYARA tutafutane kwa namba 0629862390.
Habari wana jf,
Kwa wenye kuhitaji asali ya nyuki wakubwa na wadogo kwa bei ya jumla aliyepo mikoa ya ARUSHA na MOSHI, na MANYARA tutafutane kwa namba 0629862390.
Habari Jf,
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwaniaba ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (NAO) wametangaza majina ya wanaohitajika katika usahili utakao fanyika tarehe 20/07/2015.
Bofya hapa kuona majina: Document Details | Kuitwa kwenye Usaili (20-07-2015)
habari,
kuna ploti inauzwa tengeru- Arusha, kilometa 10 toka Arisha mjini. Ukubwa hatua 30 kwa 17. bei milioni kumi na nane,(18million)
Huduma za maji, umeme, Barabara zinapatikana.
kwa mawasiliano piga namba 0713035942.
Habari,
Kuna ploti inauzwa tengeru- Arusha, kilometa 10 toka Arisha mjini. Ukubwa hatua 30 kwa 17. bei milioni kumi na nane,(18million)
Huduma za maji, umeme, Barabara zinapatikana.
Kwa mawasiliano piga namba 0713035942.
Habari,
Kwa wale waliowahi kutumia mashine za kutotolesha vifaranga.
Nimejaribu zaidi ya mara tatu kutotolesha vifaranga kwa kutumia mashine lakini matokeo yamekuwa ni asilimia 25 tu ya idadi ya mayai ndio huanguliwa.
Naomba kujuzwa:
Kwa mtu anayetumia mashine kutotolesha vifaranga anapaswa...
Habari wana Jf,
Katika pita pita zangu za kutafuta biashara ya kufanya nilipita katika duka moja wanalouza bidhaa zilizotumika na kuona printer ndogo yenye uwezo wa kuscan, fax, kuprint picha na karatasi za kawaida.
Aina:-Hp All in one 7560. bei 500,000/=
Naomba mwenye kujua:
Kama biashara hii...
habari wana jf,
Kwa yeyote mwenye mayai ya kuku wa kienyeji, chotara, wa malawi na aina nyingine yenye virutubisho(Fertelised) aliyeko arusha na mikoa jirani tuwasiliane kwa namba 0718473232.
Habari wana JF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, elimu ya wastani, maji yakunde, mkristo,
Natafuta binti mwenye heshima, anayejipenda, anayejua kupika,anayependa usafi, mweusi/ maji ya kunde, asiwe mnene sana, mrefu.
Awe tayari kuwa mke na mama watoto wangu siku zijazo
Aliye tayari, ani PM
Salam,
Natafuta binti wa kunipenda katika msimu huu wa wapendanao,
VIGEZO,
Umri miaka 18 hadi 24, mweusi, asiwe mnene , mrefu, mtanzania, anayejieshimu.
Aliye tayari ani PM
Habari wana Jf,,
Majina ya waliochaguliwa kuhudhuria usahili wa nafasi mbalimbali TPDC.
BOFYA LINK IFUATAYO:
http://www.tpdc-tz.com/Current_Interview.xls
mimi ni kijana wa Kitanzania,
natafuta binti mwenye kujieshimu ikiwezekana awe MWALIMU.
Umri - miaka 20 - 24,
Toka: popote pale ulimwenguni,
Rangi: Maji ya kunde au Mweusi,
Dini: Mkristo
Sifa nyingine,Ajue kupika, ajiheshimu, awe msafi, mwenye msimamo na viwango.
PM kwa aliye na sifa hizo.
Viongozi wa juu wa CHADEMA walisema kuwa wana ushahidi kuhusu waliohusika na mlipuko wa bomu katika mkutano wa kuhitimisha kampeni za chama hicho.
Ushahidi wao umeishia wapi au ilikuwa ni propaganda za kisiasa?
Tanzania kila siku kukiwa na ujio kama utakaotokea July Mosi:
>tunaweza kutokomeza na kusahau kabisa kuhusu ugonjwa wa malaria,
>Kuweka mazingira ya nchi yetu kuwa safi,
>Kuboresha ulinzi na usalama katika taifa letu,
>Kuongeza uwajibikaji na uadilifu kwa viongozi wetu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.