Shamba la kukodisha

Shamba la kukodisha

SOKETI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2010
Posts
206
Reaction score
50
Habari wana Jf,
Nahitaji msaada kwa yeyote anayefahamu eneo lenye mashamba ya kukodisha kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji mikoa ya Arusha na Manyara. Lengo likiwa ni kufanya kilimo cha mazao ya mda mfupi pamoja na mbogamboga.

Natanguliza shukrani
Kwa mawasiliano: 0625644268
 
Back
Top Bottom