Forex ni business nzuri sana na sio kama Qnet but lazima ukubali kujitoa kwelikweli lasivyo utakuja ujute kama mimi nilivyojuta kulima matikiti.
Lazima ukubali kusoma kwa video na pdf za kutosha hii biashara haiitaji papara ata kidogo mimi wakati naingia kwa mara ya kwanza nilipoteza USD 10 but nikaamua nijifunze japo sina mafanikio makubwa ila mafanikio yangu makubwa ni kupata USD 45 tu maana bado najifunza . Wengi wanaingia kwa mategemeo ya kupata mafanikio ya haraka ndio maana wengi wanafeli.
Ni industry ngumu sana kiukweli kama ni mvivu wa kusoma na kukaa kwenye INTERNET kwa muda mrefu maana lazima uwe unajua updates za news hasa zile za economy coz ndio zinaweza kuathiri currency kwa muda huo.
Feel free 0769683643
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.