Naomba kuuliza wanaofanya/waliowahi kufanya hii biashara
Camera gani nzuri kufanyia video na photo shooting?
Camera ziwe ngapi katika usiku wa shughuli kwa ufanisi zaidi?
Wanaepukaje changamoto ya kuishiwa battery charge?
Kwa tanzania hususan Mbeya, huwa wanalipwa kiasi gani kwa hii shughuli...
Yaah hivihivi yaan. Mi mwenyewe kuna mkenya mmoja kanichonganisha na wadada wa Tz kwa kuongea maneno ya uongo kabisa ili ajipendekeze tu.... nilimpa makavu sio kitoto, na hao mashori wakiTz nikawapa shit waache ushamba kubabaika na wakora wa kiKenya...
WAKENYA WANGESE SANA. WANATABIA YA UMBEAUMBEA SANA, NIMEONA HII BAADA YA KUKUTANA NA KUISHI NAO NIKIWA MASOMONI CHINA... NDIO MAANA KILA KITU KIZURI WANASEMA CHA KWAO... HAWAJIAMINI KABISA KATIKA MAMBO YAO....
We jamaa oa tu mkishindwana mtaachana baadae. Ingawa hatari umeshaziona. Kama kweli anajua nia yako kwake na akasafiri kwenda moshi kimyakimya, pia akapotea hewani siku 5.... Unauvumilivu wa kiwango cha SGR ya Magufuli.... Unataka watu wakushauri nini hapo sasa. kama wewe bado kijana tafuta...
Usimyime Mbunye mume wako tafadhali. Najua hakuna mwanaume ambae anaweza kukataa mbunye labda awe mgonjwa.... Ndoa ni kunyanduana mwanzo mwisho, maana ndio lengo kuu mambo mengine ni nyongeza tu.
Wanawake wengi wakianza kugongwa na mchepuko wanatabia ya kuwanyima mnyanduano waume zao..... Hii...
Usimtokee tena, maana ulishamtokea.... inatakiwa umalize kiutuuzima, mle kimasihara... endeleza urafiki wa karibu sana... siku mualike kwako, akija tu anza kutomasa piga mzigo...
Hamna lolote, nyie Jiteute mlisaidiwa na JWTZ, MP kibao ndio waliotukimbiza ile siku. Hata sababu ya Tambaza kusambalatishwa ni ugomvi wa Azania na Tambaza, Chanzo kikiwa demu wa Zanaki, sio na Jitegemee.
Naikumbuka hii Mwana, walipita wadada warembo na wakaka kupoint watu, mie waliniacha. Nilikua nimevimba mkono wa kulia nilipigwa gongo na mwanajeshi katika kukimbizana ile siku kwenye viunga vya uwanja wa uhuru enzi hizo. Ile siku ilikua balaa sana. nilitembea kwa miguu hadi Buguruni...... Ila...
Kwa alichofanya Rais Magufuli kugawa hao ndege Tausi kwa Marais wastaafu, Je inawezekana hao ndege watu wakafuga kama Kuku au Njiwa nyumbani? Au itahitaji kibali maalumu kufuga.
Ikitokea hao waliopewa wakiwapa ndugu zao nao wakafuge kutakuwa na shida yoyote?
Alishawahi kumcheka BABA yake? Au MAMA yake? tena hadharani vile? Kuna muda lazima tuwe na adabu. yeye mbona alikua anafanya maonyesho ya kuvaa chupi? Watoto wake au wajukuu wake watamcheka pia...
Usiwe RUDE kwake, usimjibu kwa kumuumiza, unakosea sana. Jitahidi kuwa polite kwake.... mpe majibu ya kumkataa kwa hekima sana na kumpa sababu za kumkataa kama kweli unamkataa... sio hivyo...
Inawezekana JPM akawa kapatia sana juu ya hili suala kwa mtazamo wako. Ngoja tusubiri tuone itakuaje, maana watu hawachukui tahadhali yoyote hasa kwenye kuvaa barakoa na kuzingatia sosho distansing... Tujipe muda matokeo tutayaona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.