kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 321
Naomba kuuliza wanaofanya/waliowahi kufanya hii biashara
- Camera gani nzuri kufanyia video na photo shooting?
- Camera ziwe ngapi katika usiku wa shughuli kwa ufanisi zaidi?
- Wanaepukaje changamoto ya kuishiwa battery charge?
- Kwa tanzania hususan Mbeya, huwa wanalipwa kiasi gani kwa hii shughuli?