Habarini wakuu,
Sijui ni wasi wasi wangu wa Ajira (wenge ) au ni nini, mbona nimesikiliza mala kadhaa mh Jenista Mhagama sioni aseme tunaombaje hizo Ajira , au nisubiri utaratibu utatangazwa?
Maana nimeandaa kila kitu almost 98% nasubiri nipewe anuani tu.
Nawasilisha
Habari wadau wangu , naomba kujua jina la shule hapa Tanzania inayofundisha ki jeruman au kifaransa nataka mwanang akasemee hapo mwakani nadhamiria ajue lugha mbili kijeruman na kingereza au kifansa na kingereza ,
Asante
Habarini wanajamvi,
Huu ni mtandao bora sana kwangu since I joined , hapa huwa napata nondo sana.
juzi kuna mtu alianzisha topic kuhusu kuto kuona majina ya walio chaguliwa diploma, Mimi ni mmoja wao, kwa msaada wa members na mmoja wao ni MANJIS wamenisaidia kwa ushauli, na sasa nimechaguliwa...
Wasalaam. Nianze na kumshuru m/mungu mana nilichokua nakitaka nimekipata, miez kadhaa ilopita nilileta uzi apa nikitaji cd au dvd kwa masomo ya o level . Juz nimeckia clauds kuna mwl katangaza ana dvd za masomo ya o level pia anatafuta walimu wa kusaidiana nao kaz . Nimechukua no yake...
Habari wana jamvi, najua kuna jukwaa la sport ila pia lakin umu wanaolitembelea hili jukwaa ni wengi , nna swali huwa linanitatiza sana , wachezaji huwa wanapewa no nyuma ya jez 1-11 lakini kuna wengine wanapata namba zaidi ya 11 mfano wachezaji wa simba, kichuya ana 25 , manula ana jez no 28...
Habari Wana jamvi , hv juz nilileta uzi umu kuhusu mdogo wangu anaetaka kurisit nashukuru kuna walionishauli point sana, leo nimekuja kuuliza kama kuna mtu anapajua morogoro , maeneo ya nane nane wanapaita kwa mzungu peku peku pale kuna kituo cha kurisit nasikia wanabweni kabisa ninaomba mwenye...
Habarini wana jf ,
Ninamdogo wangu alimaliza o level miaka mi nne iliopita na hakufaulu kutokana na sababu mbili;
1. Yeye hakua na juhudi na hakua anajua anasoma ili iweke
2. Sababu za kifamilia ziliongeza changamoto kutohudhulia shule kwa muda mrefu , jana amenieleza mwenyewe kuwa ana nia...
Wasalam
jana nilipata muda wa kuhuzulia semina zinazoendeshwa na clauds media pale royo village dodoma
Nampongeza sana huyu mwanzilishi wa wazo hili kwamba kila wanapo kua na fieata basi na semina na ujasilia mali iwepo
Jana sikutoka kama nilivyoenda kuna vitu nilivipata na nikiviweka kwenye...
Za Jioni Wakuu,, Naona Tunaotumia Internet Tumeanza Kupewa Ahueni Maana Voda Na Halotel Wamezindua Vifurushi Vipya Vya Mb Na Dakika Na Kwa Jinsi Nilivosikia Cha Halotel Kipo Poa Sana Ingawa Kwa Mimi Bado Sijavitumia Naomba Kupata Maoni Yenu Kwa Yeyote Alie Tumia Hivi Vililushi Hivi Vipya
Wadau za jion
Nimeomba ajira some where kwa mtandao hapa nasubili kuitwa kwa interview ,kwenye tangazo la kaz wamesema salary ni TGHS A naomba kujua hicho ni kiasi gani cha mshahara
Asante
Habari za leo Wana Jjf,
Nina jambo ninaomba niwashirikishe naamini mtanisaidia. Nina mdogo wangu wa kike kamaliza form four 2009 ila alifeli hakupata hadta D moja. Mambo ya hapa na pale hakujiendeleza, na nahisi hapendelei kusoma. Anachotaka yeye ni ku resit kwa kusoma mwaka mmoja kwa masomo ya...
Habari wanaJF
Sorry, Hivi Mheshimiwa Reginald Mengi ana elimu gani? Yaani mwenye summary kuhusu elimu yake anijuze coz nasikia wanamwita Dr, sasa najiuliza kwa nini Serikalini hana cheo (simdharau).
Nahisi angekua na nyazifa fulani pale mjengoni angesaidia Watanzania toka hatua moja hadi...
Wana Jf Habari Za J2 Week End Ndo Hyo Ina End Ila Kwa Wengine Kesho Bd Ni Week End (off) Back To Topic Me Nna 22 Yrs Ila Ni Mmene Zaid Ya Kilo Sabini Ila Huwa Cpendi Nikiona Wenzangu Wenye 25 Yrs Wana 55 -6o Kg Sa Najihis Vibaya Nahitaji Kupunguza Kilo Zaidi Ya Kumi,
Hapa...
Wakati benk moja inavamiwa nikapga 112, nikajibiwa karibu jeshi la POLICE TZ kitengo cha dharura for kiswahili bonyeza 1 for engl pres 2 Nikabonyeza 1 Saut Ikasema Kwa Ajari Za Barabaran Au Moto Bonyeza 1 Kwa Ujambaz Bonyeza 2 Nikabonyeza 2 Sauti Ikasema Tena, Kama Majambaz Wana panga, Lungu...
Habari wana JF, mie nna swali inawezekani limeshawahi kujitokeza ila me toka nimeijui JF cjawah lisikia ni hivi nianze kwa wadada kipi bora kati ya haya kuzunguka sana na bahasha kutafuta kazi bila mafanikio lakini huna shida kwenye maswala ya mahusiano yan unapendwa na kila mwanaume yan hadi...
AMREF habarin wandugu me nna shida na hili shirika nackia huwa wanafadhili wanafunzia wa vyuo vya afya sa kwa anayejua taratibu za kufadhiliwa na vigezo anavyotakiwa kua navyo mwanafunz au kwa ni shilika gan au kitengo kinaweza kutusaidia nawakilisha
Wana jf mamb vp habar za weekend jaman me nna shida ya kujua alfabet za kirumi yani nilikua nazijuaga ila nilisahau nataka kujua kuzitumia kwenye note book yangu coz kuna vitu vya siri huwa naandika ila watu/marafiki wa karibu wakipekua pekua wanasoma na mim huwa sipendi vitu vingine ni siri...
Habari wanajamvi.
Mimi nina matatizo kama mawili yananitatiza nashindwa kuacha.
Tatizo la kwanza, nina usingizi kupita kiasi yaani nawahi kulala ila nachelewa kuamka na hata nikienda darasani bado nasinzia. Kwenye discussion simalizi dakika 5 nasinzia na toka nipo o level nilikuwa hivi...
Leo nimengalia hiki kipindi kinasaidia watu sana pale nimeona watoto wawili ------------ willing chair ni walemavu wa miguu.
Hizoo pesa zimetokana na watazamaji karibia laki 9 kwa baiskeli zote mbili.
Imenigusa sana kifupi natoa wito kwa wanaJF kwamba ukikutana na mtu anayeomba msaada kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.