king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,153
AMREF habarin wandugu me nna shida na hili shirika nackia huwa wanafadhili wanafunzia wa vyuo vya afya sa kwa anayejua taratibu za kufadhiliwa na vigezo anavyotakiwa kua navyo mwanafunz au kwa ni shilika gan au kitengo kinaweza kutusaidia nawakilisha