king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,148
Habari wanajamvi.
Mimi nina matatizo kama mawili yananitatiza nashindwa kuacha.
Tatizo la kwanza, nina usingizi kupita kiasi yaani nawahi kulala ila nachelewa kuamka na hata nikienda darasani bado nasinzia. Kwenye discussion simalizi dakika 5 nasinzia na toka nipo o level nilikuwa hivi.
Tatizo langu la pili, nina tabia ya kuropoka yaani hadi najiona nakera ila nashindwa niacheje kwasababu najistukia. Nimesharopoka kila nikisema naacha muda huo huo mtu akiongea kitu mimi tayari nishajibu.
HIVYO BASI KWA MWENYE USHAURI USIPITE KIMYA TU.
Asanteni.
Nawasilisha.
Mimi nina matatizo kama mawili yananitatiza nashindwa kuacha.
Tatizo la kwanza, nina usingizi kupita kiasi yaani nawahi kulala ila nachelewa kuamka na hata nikienda darasani bado nasinzia. Kwenye discussion simalizi dakika 5 nasinzia na toka nipo o level nilikuwa hivi.
Tatizo langu la pili, nina tabia ya kuropoka yaani hadi najiona nakera ila nashindwa niacheje kwasababu najistukia. Nimesharopoka kila nikisema naacha muda huo huo mtu akiongea kitu mimi tayari nishajibu.
HIVYO BASI KWA MWENYE USHAURI USIPITE KIMYA TU.
Asanteni.
Nawasilisha.