king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,148
Habarini wanajamvi,
Huu ni mtandao bora sana kwangu since I joined , hapa huwa napata nondo sana.
juzi kuna mtu alianzisha topic kuhusu kuto kuona majina ya walio chaguliwa diploma, Mimi ni mmoja wao, kwa msaada wa members na mmoja wao ni MANJIS wamenisaidia kwa ushauli, na sasa nimechaguliwa chuo cha clinical medicine Tabora nzega ni cha private, nimepewa fom nimesoma lakini naomba kupata A,B,C kuhusu kile chuo , kama kuna mtu upo humu au una ndugu yako yupo pale au amewahi pitia pale, naomba kujua zaidi kuhusu chuo, changamoto za pale, na mazingira kwa ujumla.
Asante
Nawasilisha
Huu ni mtandao bora sana kwangu since I joined , hapa huwa napata nondo sana.
juzi kuna mtu alianzisha topic kuhusu kuto kuona majina ya walio chaguliwa diploma, Mimi ni mmoja wao, kwa msaada wa members na mmoja wao ni MANJIS wamenisaidia kwa ushauli, na sasa nimechaguliwa chuo cha clinical medicine Tabora nzega ni cha private, nimepewa fom nimesoma lakini naomba kupata A,B,C kuhusu kile chuo , kama kuna mtu upo humu au una ndugu yako yupo pale au amewahi pitia pale, naomba kujua zaidi kuhusu chuo, changamoto za pale, na mazingira kwa ujumla.
Asante
Nawasilisha