Hiki kilikuwa ni kikao cha bodaboda na mkuu wa wilaya ya Bunda mh. Mirumbe pamoja na Wana PPF, BIMA na polisi.
Kikao hiki kilihudhuriwa na bodaboda zaidi ya 200 katika ukumbi wa halmashauri.
Lengo kuu lilikuwa ni kuwaomba bodaboda kujitokeza na kujiunga na mfuko wa PPF ili waweze kuchangia sh...
Uchafu uliopo hapa hospitalini unatisha sana. Vyoo vyenyewe hutamani kuingiapo kutokana na hali mbaya ya uchafu. Yaani mikojo, Mavi na maji machafu yametapakaa hadi kinyaa. Haya yote yanafanyika na uongozi mzima wa hospitali upo bila kuchukua hatua yoyote ya kufanya usafi.
Pamoja na hayo pia...
Wafanyakazi wa hospitali ya Manyamanyama wilayani Bunda mkoa wa Mara wanauza damu na wakati huo unaambiwa kutoa damu.
Swali, kama ndugu wa mgonjwa anatoa damu kwa nini tena atozwe sh. 5,000 ya damu kila mfuko?
Katika hispitali ya Manyamanyama wilaya ya Bunda kuna bodaboda wanapaki eneo la hospitali kwa ajili ya kujitafutia riziki.
Lakini sasa wanafujo maana wanakimbilia wateja na kupiga resi hovyo hovyo bila kujali kuwa ni eneo la hospitali ambapo kuna wagonjwa wa maradhi mbalimbali..
Jambo hili...
Dar es Salaam
Mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyotangazwa juzi na Rais Jakaya Kikwete yametajwa kuwa na malengo ya kisiasa, huku Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa akikosoa kitendo cha kuhamishwa vituo vya kazi wakuu hao sita ndani ya mwezi mmoja, kwamba ni gharama kwa Serikali...
Ndugu zangu, sikubaliani na kitendo kilichotokea bungeni usiku cha UKAWA kuzua kelele bungeni badala ya kujadili namna ya kuwahukumu wezi kama walivyoanza mwanzoni. Kwa kweli hii inaonyesha kuwa watu hawajakomaa kisiasa. Kitendo hiki kilianzishwa/kilitokea wakati Mbowe anaongea. Source yake ni...
Nashindwa kuelewa kama vyombo vya kurusha matangazo ndo vinachochea kuporomoka kwa maadili. Mda huu wa saa 8 STAR TV inarusha miziki ya wachezaji walioko nusu uchi. Kwa hali hii wanafundisha nini katika jamii? Serikali nayo inaona na imeridhika. Hivi tunaenda wapi?
Mtoto anawauliza wazaz wake. hivi Baba na
Mama mnaweza kutoa gari na kumpa house
girl? WAZAZI wanajibu Gari le2 lina thamani
sana hatuwez kumpa. MTOTO tena, Je
mwaweza kumpa hause girl ATM kad pamoja
na password? WAZAZI AHA...! Hatuwezi
anaweza kuiba fedha zote halafu tukawa
maskini pesa...
Hospitali ya Bugando ni kero sana kwa sasa maana manesi na madaktari hawajali hata wagonjwa wenye hali mbaya kupewa huduma za haraka.
Nasema hivi kwa sababu wagonjwa wanaopewa rufaa kwenda Bugando wakiwa na hali mbaya wanakaa zaidi ya masaa matatu bila hata kupewa huduma wakati huyo mgonjwa...
Mengi amesema atakayesaidia kukamatwa kwa waliomkata mkono Albino wa Tabora atamzawadia sh.10,000,000. Lakini pamoja na hayo, wengine wa mauaji ya hapo awali wamewahi kukamatwa na baadae kuachiwa licha ya kuwepo ushahidi wa kuthibitisha hilo.
Askari polisi mmoja nimemkuta anakunywa pombe amevaa @Uniform yaani magwanda akiwa baani na tayari amelewa akiwa na askari mwenzie mmoja aliyevaa kiraia na baadhi ya raia pia wakiwepo wanakunywa.Askari huyo ana √√ mbili begani. Je, hii ni halali kwa askari wetu kufanya hivyo?
KWA KWELI INABOA pale
unatarajia ukitoka kazini
upokewe kwa kumbatio na busu
tamu shavuni afu unakuta
wanafiki wamesha mwaga
unafiki kwa mkeo.
KWA KWELI INABOA saa ya kula
chakula limtu liachia ushuzi ile
silent afu dingi anaku mind
wewe ndie uliye jamba kumbe
siye.
KWA KWELI INABOA...
CCM inanishangaza sana ninapowaona wazee waliozeeka ambapo hata wakiongea wanatetemeka wakati vijana wapo. Hao wazee wana mda mrefu serikalini na serikali ya CCM inaendelea kuwapa vyeo vikuu serikalini. Mfano wa hao wazee ni makamu wa rais mh. gharib_Bilal. Nimemuona akizungumza kwenye taarifa...
Nasikitika sana kuona waalimu wakilalamika kila kukicha kuwa mishahara wanapewa kidogo ukithamanisha na kazi ngumu wanayoifanya tena wengine katika mazingira magumu tena hatarishi sana. Serikali inathubutu kuwalipa wabunge posho kubwa kwa siku ambayo ni mshahara wa mtu mmoja hadi wawili kwa...
Kuna taarifa kuwa basi la Zakaria limeua watu 5 na wengine kadhaa kujeruhiwa huko Sirari ikiwa inatokea Sirari kwenda Mwanza leo asubuhi. Mwenye taarifa kamili atujuze.
Kikosi cha zima moto bora kiitwe kikosi cha zima moshi maana nyumba za watu huungua kila leo lakini mafanikio yatokanayo na zima moto hayapatikani maana hawafiki kwa wakati na hatimaye wakifika wanakuta nyumba tayari imeishaungua na badala yake wanazima moshi. Kwa hali hii, sioni sababu hasa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.