Katika hispitali ya Manyamanyama wilaya ya Bunda kuna bodaboda wanapaki eneo la hospitali kwa ajili ya kujitafutia riziki.
Lakini sasa wanafujo maana wanakimbilia wateja na kupiga resi hovyo hovyo bila kujali kuwa ni eneo la hospitali ambapo kuna wagonjwa wa maradhi mbalimbali..
Jambo hili linafaa kukemewa vikali Sana na uongozi husika ili wawe wastaarabu maana hata parking zao ni mbaya Sana kama unvyoona hapa.
Lakini sasa wanafujo maana wanakimbilia wateja na kupiga resi hovyo hovyo bila kujali kuwa ni eneo la hospitali ambapo kuna wagonjwa wa maradhi mbalimbali..
Jambo hili linafaa kukemewa vikali Sana na uongozi husika ili wawe wastaarabu maana hata parking zao ni mbaya Sana kama unvyoona hapa.


