MAREHEMU ALIZALIWA 05.02.77,ENZI ZA UHAI WAKE lijishughulisha na kuua mazao ya biashara:pamba,tumbaku,kahawa.korosho,na katani pia marehemu atakumbukwa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kutaifisha nakuua viwanda na makampunibinafsi,kuua vyama vya wakulima,kuua na kuuzamakampuni na viwanda...
Wakati lulu akiachiliwa kwa dhaman ana ponda kuendelea kusota jela na mahakama kushindwa kutoa maamuzi ya kina kuhusu kosa la ponda je hii imekaaje wana jf, mbona tunataka tufika siko na kufanya waislamu waonekane wabaya
"ponda aachiliwe kosa lake halijulikani na lulu nae vipi"
Kutokana na msimamo wa wana mtwara na lindi msimamo wao na madai yao ya msingi na kuoneka serikali ina nia ya kuwataka kutia changa la macho kwa wana mtwara -lindi,na kufanya kusahau ahadi walizozitoa hapo awali na kupelekea kutoeleweka daima,
"gas kwanza maneno baadae"
hapa tutaona jinsi gani serikali ya tanzania ilivogeuza mradi wa power plant ya 300mw,kupitia fedha iliyokopa ktk bank of china 13.10.2011(Exim) kiasi cha dola za kimarekani cha 684,kwa mradi huo huko mtwara mnazi bay,sasa cha ajabu ya leo wanataka kutoa gas hiyo kupeleka gas hiyo huko dar,ebu...
jamani jamani sasa imekuwa ni kero hapa tz sijui ni aina gani ya wizi tena nmb unalipia 1000 a.k.a buku kutuma pesa imekaajee hii jamani nijulisheni mbona benk zingine sijaona
ref:nmb mtwara.
Nongwaa nongwaa mfanyie babayoo
ASALAAM ALAYKUM WANA JF HIVI MAWASILIANO HASA NI KERO SASA KWA MTANDAO WA TGO MPAKA INAKUWA HATUNA IMANI NA WENYE MTANDAO AU NDIYO AINA YA UFISADI MAANA UNAWEZA KUWA UNAPIGA HAMUSIKILIZANI NA PESA WANACHUKUA YAAN NI KEROOOOOO,
IMEKAA VIBAYA HIII
Conquest-ufisadi tz mpka lini
MAANA NAONA MAISHA KILA SIKU YANAKUWA MAGUMU,NA HASA HAWA MAPROF,WASOMI KWA UJUMLA INCHINI KWETU WANA MCHANGO GANI KTK TZ YETU ZAIDI YA KULA MALI ZETU PIA NA HASA HILI LA KILA SECTOR WAWEKEZAJI JE ITAFIKIA WAKATI HATA WAKE ZETU WATAWEKEZWA?
NIJULISHENI WANA JF UMUHIMU WA CCM MPAKA LEO NI NINI...
ALBUM: ONE SONG ONLY:
DEAR PENIS SONG
Dear penis ,Dear penis
I dont think I like you anymore
You used to watch me shave
Now all you do is stare at the floor
Ooh, dear penis
I dont like you anymore
It used to be you and me
..a paper towel, and a dirty magazine..
Thats all...
napenda kuuliza wana jf kuhusu kondom ni mzuri kwa afya kwani nimekuwa nikitumia kwa wangu nachelewa sana kuliko dry kama wasemavo vijana,imekuwa nikitumia hisia sana katika tendo kwani huwa naona tofauti nitumiapo mpaka tunaamua kutoa,so nijuzeni inamadhara gani.
Conquest-all created by human...
:blah::decision:HONGERA SANA BABU KWA KUWEZA KUGUNDUA TIBA YA HOMA ZETU LAKINI SWALI LINAKUJA KWAMBA UMASIKINI NCHINI UPO TENA SANA JE HAKUNA TIBA AU MTABIBU WA KUGUNDUA TIBA MAANA HOMA HII IPO KWA ASILIMIA 98%
TULIANGALIE SANA NA HILI JE THAMANI YA PESA ILI KUFIKIA HUKO KWA BABU NI NYINGI HAMA...
WANA JF NAULIZA HIVI WATOTOT WAKIMASIKINI WASSOME MPAKA LEVEL GANI WAPATE AJIRA AU KAZI KAMA WATOT WA HAO VIGOG MAANA INATIA UCHUNGU KILA SEHEMU NYETI WATOTO WAO SIE JE HAPO NDIPO KILIO CHANGU MPAKA NATAMANI KUJILIPUA SEHEMU HIZO ZAO NYETI KIELEWEKE MOJA,NISAIDIENI HILI MAANA KILA SIKU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.