jamani jamani sasa imekuwa ni kero hapa tz sijui ni aina gani ya wizi tena nmb unalipia 1000 a.k.a buku kutuma pesa imekaajee hii jamani nijulisheni mbona benk zingine sijaona
ref:nmb mtwara.
Nongwaa nongwaa mfanyie babayoo
binafsi hii huduma ya nmb ya kulipia Tsh.1000/= kama unatuma hela kwenye ac.ambayo si yako sijaipenda,naona 1000 ni kubwa sana,huduma kama hizi si za kucharge kwa kiasi hicho,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.