I totally agree with Hon. Sitta. Tanzania has so many tourist attractions but many tourists come to Tanzania through Kenya and then come to Tanzania. In this regard Tanzania will be a looser only getting $30 but Kenya will get $70.
Uko sawa kabisa ni lazima achangie kwa ajili ya elimu ya mwanaye. Kwa uzoefu watoto wengi wanapofanikiwa kwa asilimia kubwa huwa huegemea sana kwa Mama na huyo ndiyo anayefaidi matunda ya mtoto.
Hapa sheria ya manunuzi ya Umma umekiukwa kabisa lakini lawama zimwendee Mkurugenzi Mtendaji aliyekuwepo kwa kuacha mambo yaende kiholela akimwogopa Mstahiki Meya. Baadhi ya Mameya, Wenyeviti wa Halmashauri ni watu wa kuogopwa sana. Baadhi yao wako pale kwa masilahi yao na siyo maendeleo na...
Sisi wanaume tuwe macho sana na mahawara. Kwako kunawezekana hata hela ya dagaa hakuna lakini kwa hawara ananunuliwa anachotaka iwe gari, kujengewa nyumba, samani n.k. Hii ni laana gani mwisho wa siku unapigwa teke.
Hao wajitayarishe kupata hasara kubwa. Watanzania hawana utamaduni wa kununua vitu kwenye supermarkets. Wanapenda kununua kwenye masoko kama kilombero - Arusha, Kariakoo n.k.
Village leadership is the main source of land problems in this country. The so called fake investors come with bribes and they eventually sell the village land without knowledge of the village people. That is where the conflict starts to arise whereby the land becomes scarce for farmers and...
Huyu Mzee alikuwa ngangari na hana mchezo na mtu ingawaje naye ana mapungufu yake. Mtu sahihi wa kusimamishwa na CCM ni Mzee Mkapa. Mtaona nchi itakavyopaa.
Brandts amefanya kazi kubwa kwenye Klabu ya Yanga. Msimu huu kama Brandts angekuwepo Yanga wangeutwaa ubingwa tena. Mimi naona ni fitina dhidi ya Brandts na kwa tabia hii ya jeuri ya pesa Yanga haitafika mbali. Umaskini ni kitu kibaya sana. Klabu ya Yanga kila kitu wanamtegemea Y. Manji na...
Mambo ya kuchafuana hayana msingi. Wewe Zitto unatakiwa ujibu hoja. Wewe unajua fika kuwa mwisho wako umefika. Utakosa ubunge, Uenyekiti wa PAC na itabidi uanze moja na itakuchukua miaka mingi kufikia mahali ulipo sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.