Mwaka unakaribia kuisha ni wazi kwamba wapo wana JF wengi walijitokeza na kufanya vizuri au kuchangamsha kutokana na mada au michango yao mbalimbali.
Baadhi ya wa JF wameonekana kufanya vizuri zaidi kwa mwaka huu, unadhani ni nani anastahili Tuzo ya mwana JF bora kwa mwaka 2022, kwa upande...
Kila mwaka msimu wa usajili timu mbalimbali husajili wachezaji ili kuimalisha vikosi vyao, bahati mbaya baadhi ya timu husajili wachezaji ambao wanakuwa na mchango mdogo kwenye timu zao hivyo kuwa mzigo.
Wafuatao ni baadhi ya wachezaji ambao wamekuwa magarasa kwenye timu hizo.
Yanga
Makambo...
Nimeangalia mchezo kati ya Simba na St George, kiwango kilichoonyeshwa na mchezaji Dejan toka Serbia ni cha kawaida sana, ni bora mara mia ya Kagere au Mugalu. Kwa kweli hapa tumeuziwa rangi sio mchezaji.
Kuna kila dalili Yanga akachukua ubingwa msimu huu, kuna uwezekano mkubwa Simba akatolewa nusu fainali kwenye FA. Hii inaashiria kuwa msimu ujao Simba hawatashiriki michuano yoyote ya Kimataifa, hii itawapa muda waweze kujenga upya Kikosi chao ambacho kimejaa wachezaji wenye umri mkubwa kama...
Wengine wanaweza wasikubaliane nami kuhusu hili kwa kuwa kuna wakongwe kama Luambo Luanzo Makiadi, Pepe Kalle, Kanda Bongoman na wengineo ambao walivuma kipindi cha nyuma. Ila huyu mwamba tangu aibuke amekuwa akitoa vitu vikali mwaka hadi mwaka. Nimesikiliza kitu chake kipya Acquitte...
Ni michango iliyoanzishwa kwa bashasha na Mmiliki wa timu hasa baada ya tukio la CEO wa Simba watoto wake kuzuiwa kukaa jukwaa kuu, mwanzoni taarifa za michango zilikuwa zikitolewa na baada ya hapo imekuwa kimya. Tungependa kujua maendeleo ya uchangiaji huu wa Ujenzi wa Uwanja.
Nimekuwa nikiona maoni mbalimbali kwa mashabiki wa Simba juu ya uwezo wa kocha wao mpya kuwa juu. Ili kocha yoyote aweze kufanikiwa pamoja na uwezo wake wa mbinu na ufundishaji ni lazima awe na wachezaji wa maana, nikiangalia kwenye kikosi cha sasa cha Simba kina wachezaji wa kawaida sana sehemu...
Tangu nijiunge JF kumekuwa na watu kwenye majukwaa tofauti kuwa active wakichangia hiki na kile. Kwa sababu tusizozijua watu hao kwa sasa hawapo, hawa hapa ni baadhi yao
Lizaboni
Simiyu Yetu
@Shyland
miss chagga
@Karauche
Munkari
MUSSA ALLAN
Gentamycin
Nifa
The bold
Je wewe unamkumbuka nani na...
Timu ya Yanga leo inashuka dimbani kuwavaa JKT Tanzania,katika mchezo huo Yanga wataingia kwa lengo la kuongeza tofauti ya points 7 dhidi ya watani wao wa jadi Simba ambao kesho wanatarajia kushuka dimbani nchini Nigeria na kupoteza kwa idadi kubwa ya mabao dhidi ya wapinzani wao Plateau katika...
Hii coincidence huwa nashangaa mpaka leo, katika mahusiano tangu nilipoanza imetokea Wanawake wenye jina la Emmy kuwa nao watano tofauti. Anna watatu na Halima wawili, kwako ni jina gani lililojitokeza sana?
Nataraji kuwa na safari ya Wiki mbili kwenye Mikoa ya Lindi na Mtwara, naomba kufahamishwa Lodge nzuri isiyozidi gharama ya Tshs 40,000/= pamoja na maeneo ninapoweza kupoza koo huku nikifaidi uumbaji wa manani.
Kama tunavyojua leo timu yetu ya Taifa itakuwa ikitafuta tiketi ya Afcon.Kwa wale tutakaokosa nafasi ya kwenda Uwanjani tujuzane sehemu ya kwenda shuhudia mtanange huo,binafsi nafikiria kuwa maeneo ya Kilimani pub Kimara au 40-40 Tabata nikitaraji kunywa Castle lite kwa buku. Nina mshikaji yuko...
Kocha mkuu wa timu ya Fulham ametimuliwa kufuatia kipigo cha mabao2-0 kutoka kwa timu ya Southmpton. Kocha huyo aliyewahi kuiongoza Leicester city kutwaa ubingwa wa England alipata ushindi mara moja katika michezo 16 aliyoiongoza timu hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiungo wa Simba James Kotei na Beki wa Yanga Andrew Vicent wamefungiwa mechi tatu kwa kosa la kumpiga Gadiel Michael na Mohamed Hussein, wote wamepigwa faini ya tshs Milioni moja.
Imekuwa ni tabia ya Wasanii wengi kutumia Ngada wanapopata umaarufu hali inayopelekea vipaji vyao kuzimika kama mshumaa jangwani.
Hivi karibuni kumekuwa na tetesi za Msanii darasa kuwa katika kundi hilo, ukiacha huyo wapo pia akina Chidi, Kiuno bila mfupa na yule wa Nibebe. Ukiachana na hao ni...
Kuna tetesi nimezisikia kwenye vijiwe kuwa kocha msaidizi wa Simba Mrundi Masoud Djuma Mkataba wake umesitishwa, mdau mwenye taarifa zaidi atiririke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuwaona baadhi ya wachwzaji wanaotoka katika mkoa wa Mwanza hasa Wasukuma leo tujikumbushe wachezaji waliotokea mkoa wa Kigoma ambao kabila kuu ni Waha na Wamanyema, naanza na wafuatao
1. Edibily Lunyamila
2. Seleman Matola
3. Wilfred Kidau
4. Alphonce Modest
5. Said Sued "Scud"
6...
Mara nyingi tumesikia matangazo mbalimbali yakihamasisha jambo fulani, mwisho mwa Tangazo utasikia vigezo na masharti kuzingatiwa. Ni kwa nini hivyo vigezo na masharti visisemwe ili kama mtu utaamua kushiriki na ukishindwa kusiwe na sababu?
Mkoa wa Geita umetajwa kuwa na wanaume wengi ambao hawajafanyiwa tohara kati ya mikoa saba ya Tanzania bara ukifuatiwa na Mikoa ya Mwanza na Mara, jambo ambalo linaweza kusababisha kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya Ukimwi.
Chanzo Clouds Habari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.