Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,902
- 14,378
Kocha mkuu wa timu ya Fulham ametimuliwa kufuatia kipigo cha mabao2-0 kutoka kwa timu ya Southmpton. Kocha huyo aliyewahi kuiongoza Leicester city kutwaa ubingwa wa England alipata ushindi mara moja katika michezo 16 aliyoiongoza timu hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app