Naomba kama kuna mtu anawafahamu madalali wa pilipili za mwendokasi kwa dar anijuze ili nifanye nao biashara kwa zao la pilipili mwendokasi aka Habanero
Naomba msaada mimea yangu ya pilipili mwendokasi, matunda ambayo hayajaiva yanaonyesha hali ya rangi kama ubluu hivi (nimeambatanisha picha ) hilo ni kawaida au ni ukosefu wa nini. Natakiwa nifanyeje kwa hali hiyo.
Mimi ndio nimeanzisha hiki kilimo. Niko Dodoma.
Ni kweli ni hatari ila kusema kuwa ni hatari bila kulinganisha takwimu za michezo aliyocheza na idadi aliyofunga na kisha kulingamisha na takwimu za waliopita ndani ya miaka hiyo uliyotaja nadhani umekosea sana. Nakushauri hoja yako ijikite sana kwenye takwimu zaidi
Salama wakuu. Naomba kuelekezwa namna ya kuindoa virus kwenye pc bila kubadili windows. Asante nisaidieni. Nipo dodoma na mafundi wengi wananiambia ni lazima kupiga chini window then kuweka antivirus na kuscann
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.