Habari wana jukwaa. Tayari nina wake watatu (03), wote ni wake wema na wana sifa za msingi kuwa wake bora.
Sasa natafuta mke wa nne (04). Huyu namuoa kama sehemu ya kusaidia watu wenye uhitaji maalum kwenye jamii. Muhusika awe na sifa zifuatazo;-
1. Awe mjane (sio aliyepewa talaka), 2. Anaweza...
umenikumbusha mrembo mmoja nilim, shake well, akawa ananiambia, asante Ali kiba, oh Ali kiba, oiii Ali kibaaaa! Akili za mbayuwayu nikachanganya na zangu
Wadau ,
Tunatafuta madereva wawili wenye leseni na uwezo wa kuendesha mabasi ya kati (kama coaster).
Sifa
1. Wawe wanaishi ndani ya halmashauri ya temeke au ilala
2.Wawe na leseni husika na uzoefu wa kuendesha gari
3. Wawe wanajua vizuri gari
4. Wawe waaminifu na wakweli
5.wasiwe na historia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.