frankfrut_
Member
- Apr 24, 2015
- 20
- 8
Siku imani yangu itakapo ondoka kwa serikali yangu ni pale itakapo pandisha mishahara mwezi wa saba mwakani na kusahau kwamba mwaka huu napo tulikuwa tukihitaji ongezeko la mshahara. Nikiwa na maana wakafanya increment moja badala ya mbili
Kwa sasa imani bado ipo
Kwa sasa imani bado ipo