lol Salamuu Maria......mmmh, hiii dunia kwisha kazi yake!!!, sasa si uende wodini ukamalize hamu, nikikuona nyuma ya mama watotowangu walahi, nakushusha busha lol.
mabinti msikonde, narudisha bikra kwa msichana na wavulana. yeyote aliyepoteza katika hali yoyote, wiki moja tu. wazo la vyeti poa, nalifanyia kazi kwa watakao taka - karibuni hata wenye ndoa.
yaani kuacha mapaja nje ndo urembo?? miguu myeusi, imepinda, makovu kibao, maumbo ya kabati, mtindi lol,
Tembeeni japo somalia, ethiopia!!, lol
kumbe ndo maana picha nyingi hapa JF za ku-copy mmmmh, masela tukaoe kwa zenawi tuokoe Taifa, siku za usoni tutakosa miss Tanzania, kama hawa nao...
Nakuhisi muungwana chonde-chonde-chonde- usiondoe redio yako chumbani, endelea kurekodi tusikie na upande wa pili, je mama nanii alikubali mapatano au la!!
next time nenda karekodi Tarime kwa Chacha pia.
PhD bila shule (thesis) ni sawa na compyuta bila operating system.
Before international relations let us think about internal relations!! kamua baba nchi bado mbichi. "amesegnalehu"
kaaaah!! ndo mana mimi gari zangu naagiza toka Japan. Gari ya tangu Mzee Ruksa akiwa na hatamu mil 14, labda kama ni pesa ya Zimbabwe. Waungwana bonyezeni hapa kama mnataka usafiri. <http://www.autorec.co.jp/used-cars-list.php>
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.