Kwa taarifa za jikoni mwenye kuendesha hiyo project kafulia nadhani mnamfahamu.
alijiwekea lengo akabidhi mwezi wa tano nakama mna kumbukumbu aliweka bango pale kwa mwl J K Nyerere la kupangisha since may BUT mpaka leo mradi umesimama hata mafundi hawapo even some machies ameziondoa.l
WALIOTUDANGANYA WAFANYWEJE?
Wananchi wa mara walilalamika sana kuhusu kitendo cha wahusika wa mgodi wa north mara kumwaga sumu kwenye mto tigeti ambao maji yake yanatumiwa na wananchi wenyewe pamoja na mifugo yao.
HOJA,
alienda naibu waziri akadanganywa nae akadangaya umma.
ikaundwa tume ya...
Teh teehh teeehh
wakati yeye akiwa waziri alithubutu kumnyooshea kidole waziri yoyote? au ni kutoelewana kwa wawili hawa? na ikumbukwe alipania tokea kkao cha kwanza cha kamati ya bunge walipopitia `FIRST DRAFT` au ndo yaleyale ya next election???? NAWAKILISHA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.