Waafrika Tuna Bongo Ndogo?

wabongo nuksi tupu........mmemsikiliza dr bundara kwa link niliyotoa? naona mnaandika yale yale yasiokuwa na kichwa wala miguu......mitanzania bana
 
Kuna hili jambo ambalo limekuwa linanisumbua kila mara:

Nimekuwa nikiwaza sana na mwisho nikafikia hitimisho kwamba Mungu aliwapendelea WAZUNGU sana, akawapa AKILI NYINGI wao, na uwezo wa kufikiri MKUBWA NA MPANA, KULIKO SISI WAAFRIKA, ndio maana wamefika huko waliko kimaendeleo na mfumo wa maisha kijumla!

Hata tukilaumu kwamba walitununua kama bidhaa enzi za biashara ya utumwa, bado hoja hiyo haifuti hoja ya msingi kwamba wana AKILI nyingi zaidi, maana walinunua watumwa baada ya kugundua kwamba KAZI zimewazidi, na wanahitaji wafanyakazi zaidi kwenye mashamba na viwanda!

Mbona sisi hatukuwa wa kwanza kuwachukua wao kama watumwa, na kuwaleta huku Africa? Tulikuwa wapi? - basi mimi nasema , ni kwasababu tuna akili kidogo , au akili yetu IMEPELEA, kulinganisha na wao.
Nawasilisha, nikiomba mitizamo yenu.



Umenichekesha sana hili swali nilijiuliza sana maaana zamani nilikuwa nikiumiza kichwa kwanini sisi hatukuwatawala wazungu?
 
Evolution, ambayo leo hii imethibitika kuwa na ukweli mwingi inasema viumbe kusurvive duniani haitegemei wingi wa akili zao. inategemea uwezo wao wa kukabiliana na mabadiliko ya kimazingira.

Mabadiliko yanapotokea tuwe tayari. Waafrica tulikuwa tunaelekea kwenye extinction kutokana na kutokubadilika. Ingawa Walter Rodney anazungumzia kuwa level ya maendeleo ya Africa ilikuwa sawa na Ulaya katika kipindi fulani, Ulaya ilibadilika ghafla kadri mazingira yalivyobadilika. Africa ilibaki vile vile, maana yake ni kuwa waafrika tungekuwa tumeisha kwa malaria na magonjwa mengine yaliyopo Africa (Nashangaa wanaosema Africa Mazingira ni mazuri!!).

Actually utumwa umesaidia the African race kuendelea kuthrive na mabadiliko madogo ambayo tunaanza kuyaona leo yanatokana na Afrika kupelekwa utumwani. Ikiwa hali ya isolation iliyokuwepo ingeendelea, Afrika leo ingekuwa na bara la misitu na wanyama tuu.

Uwezo wa kukabiliana na mabadiliko kwa waafrika inaeelekea ni mdogo mno! Na karibia bara lote la Africa lingetekwa nyara na waafrika kuangamizwa kama si wazungu kuwabeba waafrika na kuwatawanya sehemu nyingine na kuwatumikisha! Mambo haya ndo yanafanya waafrika tubadilike kidogo. Lakini hata hivyo kasi yetu ya kubadilika haiendani na ya mataifa mengine. Uchumi wa Kenya ulikuwa bora kuliko wa nchi nyingi za Asia baada tu ya uhuru. What happened?

Uwezo mdogo wa kukabili mabadiliko ya kimazingira! Huyu ndo shetani wa mwafrika. Ndo maana waafrika tuko hivi tulivyo!!
 
Kwa hiyo, ikiwa uwezo wa kubadilika na kujibadili ili kukabiliana na changamoto mpya kila kukicha ndo kipimo cha akili, basi waafrika (watu wenye ngozi nyeusi) tunazo kidogo. Manake hutuchukua muda mrefu zaidi kukabiliana na changamoto zile zile ambazo wenzetu wameshazipitia, hata ikiwa tayari tuna mifano ya kutosha.
 
Hata ukweli kuwa we are the minority katika dunia ambayo tunafundishwa kuwa binadamu wa kwanza alikuwa mwafrika, tukubaliane then kuwa kuna tatizo. Kwa nini tukapungua na kufikia kiwango cha kubaki minority katika global population? Uwezo wetu wa kukabiliana na changamoto mpya ni mdogo.
 
Nyani Ngabu huko Nhelegani kwenu nini, kijiji flani karibu na Shinyanga Mjini. Lakini kubali tusikubali ukweli ndio huo, waafrica akili tunazo lakini wenzetu wazungu wanafikiria haraka zaidi kuliko sisi.
 
Kama tuna akili pungufu mbona tukufanya kazi na wazungu au tulifanya kazi uzunguni tunafanya kazi vizuri na tunatumia vizuri akili zetu?

Angalia idadi yao na yetu tunaofanya hivyo vitu,then sisi tumegundua nini katika ulimwengu huu wa technologia
 
Uwanja wa taifa siku ya uzinduz tu-koki za mabomba zilivyoN'golewa.hapa juz kati viti vikavunjwa tena-vit vya uwanja pekee na wa gharama-hapo ndio nakubalian na aloleta uzi.
 
Ni ukweli usiopingika wazungu wana akili zaidi yetu mijitu meusi PERIOD!!
 
Nyani Ngabu huko Nhelegani kwenu nini, kijiji flani karibu na Shinyanga Mjini. Lakini kubali tusikubali ukweli ndio huo, waafrica akili tunazo lakini wenzetu wazungu wanafikiria haraka zaidi kuliko sisi.

Sijui umeongea nini sasa hapa mkuu! Okoa nguvu na muda sema tu wazungu wanaakili zaidi yetu basi sio blah blah blah
 
Uwanja wa taifa siku ya uzinduz tu-koki za mabomba zilivyoN'golewa.hapa juz kati viti vikavunjwa tena-vit vya uwanja pekee na wa gharama-hapo ndio nakubalian na aloleta uzi.

Kama waling'oa koki basi kumbe wana akili, maana hata hao wazungu wakifika hapa tz siku za mwanzo tu huaga wanang'oa dhahabu, almasi, faru, kahawa, n.k. kwa mikataba feki ilioanza tangia enzi za akina Kimweri.
 
We Nyani Ngabu uko na mimi sawasawa!

Wazungu walipewa nusu ya ziada kutushinda.
Kwanini kwetu sisi hata Maprofesa wetu wanarudi kugombea Ubunge, wakaacha fani zao za Kufundisha, Kufanya Utafiti na Kutoa Ushauri?

Kisha wakiwa wabunge wanaanza "sihasa"..uwongouwongo tu na ukweli kwa mbali!!

Narejea."Tuna AKILI PUNGUFU kuliko wazungu!"
Kula tano...mie nakubaliana sana na hii hoja kwa ujumla waafrika tuna akili ndogo sana kulinganisha na wazungu kidogooo tunalingana na waarabu tuu...sio marais waafrika wanaiba mabilioni na bado wanaenda kuyaweka huko huko kwa wazungu..mbona viongozi wa nchi za ulaya sio walafi kama waafrika???hebu angalia hata wanamuziki matajiri wa kiafrika huko US wanavyohangaika na pesa..akina pdidy,na wenzake mabling bling kibaaoo mbona wanamziki wa kizungu hawafanyi hayo???kuna mambo mengi yanayoashiria akili ya mwaafrika ni ndogo kuliko ya mzungu na hio ni FACT!!!
 
Average IQ ya wa tz ni ndogo ila sio individual IQs

Kuna watz wana akili sana and they are exceptional

Solution ya hili tatizo la average IQ ni ku promote interbreeding ya jamii mbali mbali.Nature will sort itself out and bring balance
 
naunga mkono hoja! tusubiri vituko mabası yaendayo kasi watu watashuka na viti .kila wapatapo nafasi
 
Back
Top Bottom