Makonda ameanzisha project nyingi sana. Na nyingi hatuna feedback zinaendeleaje sasa hivi. Ila hatujasikia lolote kuhusu kuwekeza kwenye michezo ya vijana kuanza kada za chini kabisa. Ili safari za kwenda kuwatia moyo wachezaji kama alivyoenda Egypt ziwe na tija, ni lazima sasa tusiache eneo...
As we keep struggling with reliable energy sources, could this new approach to nuclear technology save our day? We have plenty of uranium in Tanzania. What we miss is the technology to mine and use it. But who says that is a limitation if we put our minds in the right gears...
Elimu ili iweze kuwa na tija na endelevu, lazima watu wapende kujisomea majarida na vitabu mbalimbali muda wote wa maisha yao.
Huduma zetu za Maktaba sio za kuridhisha. Maktaba zetu nyingi hazina vitabu wala vitendea kazi vingine vyenye kuzifanya kuwa chachu ya kuleta maendeleo yatokanayo na...
Source: 1st openly gay Episcopal bishop to divorce husband - US news
NEW YORK (AP) The first openly gay Episcopal bishop, who became a symbol for gay rights far beyond the church while deeply dividing the world's Anglicans, plans to divorce his husband.
Bishop Gene...
Leo, Dr. Magufuli ambaye ni waziri wa ujenzi amezindua rasmi matumizi ya leseni kwa ajiri ya practising engineers and engineering consultants kama sheria inavyoelekeza.
Moja ya mambo muhimu aliyoyagusia ni bodi ya wahandisi sasa kuwa mstari wa mbele kutoa ushauri mbadala kwa serikali katika...
Baada ya kutembelea sehemu mbalimbali za nchi yetu, ni wazi tulipo sasa tumeshaka karibu miti yote kwa ajiri ya kutengenezea mkaa ambao unatumika kama nishati kwenye nyumba nyingi kuanzia vijiji mpaka mijini. Kwa bahati mbaya hatukukata miti kwa mipango endelevu ya kupanda mingine ili tusijefika...
Kuna dada ambaye ameolewa aliniambia ameniota subuhi asubuhi, akahisi aliongea katika ndoto to the point ya kutaja jina langu. Aliniambia hivyo mra alipofika kazini. Kumuota mtu si tatizo, pengine kitu ambacho sijakielewa ni kwanini aliniambia kwamba ameniota na kunitaja jina na akaogopa mumewe...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiamini kuwa physical toughness inachukua nafasi kubwa kumfanya individual kuonekana imara.Lakini mfululizo wa mambo mbalimbali yanayotokea yananithibitishia wazi kuwa physical strength peke yake bado haitoshi...katika mazungumzo yangu na jamaa mmoja hivi karibuni...
Kama zilivyo nchi nyingine zinazoendelea, Tanzania inahitaji sana mchango wa wahandisi na makandarasi ili kiu ya maendeleo ya kweli, ipatikane sambamba na ujenzi wa miundo mbinu kwa wananchi wake walio katika kona mbalimbali za nchi yetu.
Ili kukidhi ubora wa huduma zinazotolewa, serikali...
Kwa JF Members ambao wanafanya kazi kama service design engineers in the construction industry,naomba msaada wa material to read and drawing representantion of AC, lift and plumbing design. This goes to fire fighting systems design as well in buildings.
I would be grateful for your assistance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.