Sputam
budget kama hzo ni jipu la ubongo! Wange tuepushia adha za foleni zisizo kuwa na tija hapa jijini kwa kutafuta m'badala hata wa matumizi ya helikopta kuliko 147 * 171 * 100
ni zoezi zito kidogo au ndio wanakombelezea vilivyokua vimebaki? Hyo mikataba waliyo ila haiwatoshi? Hawa watu...
wanamchafua akina nani bhana? Nani asiye jua alikua akilpwa 150M Kwa SIKU? Leo hii awe MGENI? Nakumtafuta MCHAWI nani? ALIJIUZULU VIPI? Au mda wake wa kuwa madarakani ULIISHA? SIJUI SIASA ILA NDIO NINAYO KUMBUKA
kwanza airtel kwa internate na uwepo wa internate ambapo mitandao mingine haipo still cheap! Mm nipo hapa hapa dar ila kwa internate kuna mahali nikiwepo cpat internate zaidi ya airtel ss leo kuna muharibifu ww' an airtel still cheap unataka ugewe na vocha bure! Haya 2ku2mie airtel_money au...
wengine hua wanakuaga waharibifu automatically kwanza kulinganisha na mitandao yote kwa internate airtel naona kama ipo good'good ss huyu mwnye codes kila m2 am2mie buku kwani yy babu wa loliondo? Kwanza nimehama mitandao yote na kutrust airtel kwa benefits alafu nakutana na huyu m2 basi doh!
Unajua wa2 2metofautiana sana haswa kwenye kukabiliana na matatizo! Kwenye suala hili kwa fikra zangu ni either kipato or aina ya mwanamke or umemzoesha mazingira gani! Kudeka wana deka haswa wakiwa wajawazito na usipo funguka una hali gani haswa kifedha utakoma coz hato jua unazo au huna...
Kuna boda zuri sana! Mbezi unatafuta njia yakuelekea Lilian kibo inakuleta mpaka maeneo ya goba so pale utachagua utokee tangibovu_massana hosp au ukatokee makongo! Wa2 weng wa mbezi wa across hvyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.