SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,923
- 2,002
tumetoka kujadil hapa,na tumekubaliana tusimfunge,mwanangu ana siku kama 5 tangu azaliwe.Wanasema hospital wanafunga wenyewe now days
zamani wazazi waliambiwa kuwa kitovu kikidondokea kwenye sehemu za uzazi itasababisha uhanithi kuwatisha kinamama ili wawe waangalifu na kidonda cha mtoto mchanga kitovuni, wasisahau kukiangalia na maendeleo yake kuepusha vifo vya infection, lakini hakuna uhusiano
Japo kisayansi tunaambiwa hakuna kitu kama hicho, wazazi wengi wanapopata watoto wa kiume wanakuwa makini sana na kitovu kutomdondokea mtoto kinapoanguka kutokana na imani iliyopo, kwa hiyo labda apatikane mzazi ambaye mtoto wake alidondokewa na kitovu atupe mrejesho ilikuwaje.Je! Huwa inatokea kweli ama haitokei kabisa ama imekaa vipi hii japo kisayansi hakuna ki2 kama hcho
Hizi biti za mibibi na mababu zinasaidia sana
 mie pia umenijumuisha kwa mabibi wanaodunda au?watu wanadharau tu, wale mabibi wana PhD zao za kuzaliwa! wee si umefundishwa kuwa ni mwiko kabisa kwa mtoto wa kike kutoosha MWIKO baada ya kusonga ugali? mungu awape maisha marefu mabibi ote ambao bado mnadunda!
 mie pia umenijumuisha kwa mabilioni wanaodunda au?
 mie pia umenijumuisha kwa mabilioni wanaodunda au?