Mtoto anaenyonya anaweza kuathirika endapo wazazi wakifanya mapenzi?

May 26, 2015
56
20
Wasalaam wakuu,

Naomba kujuzwa kama kuna athari zozote za kiafya mtoto anaweza kupata endapo wazazi wake wakafanya mapenzi wakati yeye bado ananyonya. Huku Umakondeni kwetu wanadai kuwa ukifanya mapenzi bila kinga yeyote wakati mtoto ananyonya kunaweza kuathiri ukuaji wake hasa uzito, kuongeza hatua mfano anaweza kuchelewa kutembea au kusimama na nk.

NB: Wife anatumia njia ya uzazi wa mpango
 
Sio kweli kabisa hiyo dhana mkuu.
Hakuna madhara yoyote kwa mama na baba kufanya tendo la ndoa
wakati mtoto bado ananyonya.
 
Mh! subiri wakubwa waje!! ila huwa nasikia yapo a.k.a kubemenda, so sina uhakika maana si muhusika, ila pia niliwahi kusikia mtu akisema madaktari huwa wanatoa ushauri mzuri juu ya suala ya hilo
 
Wasalaam wakuu,

Naomba kujuzwa kama kuna athari zozote za kiafya mtoto anaweza kupata endapo wazazi wake wakafanya mapenzi wakati yeye bado ananyonya. Huku Umakondeni kwetu wanadai kuwa ukifanya mapenzi bila kinga yeyote wakati mtoto ananyonya kunaweza kuathiri ukuaji wake hasa uzito, kuongeza hatua mfano anaweza kuchelewa kutembea au kusimama na nk.

NB: Wife anatumia njia ya uzazi wa mpango

Sio kweli mtoto haathiriki kwa kunyonya wakati wazazi wakijamiiyana hakuna uhusiano katika hayo, ila jambo la kuzingatia ni lishe ikiwa mama hapati vyakula vyenye virutubisho muafaka mtoto atakosa virutubisho hivyo hivyo hato kuwa vizuri sababu ni lishe duni lkn sio kujamiiana.
 
Sio kweli mtoto haathiriki kwa kunyonya wakati wazazi wakijamiiyana hakuna uhusiano katika hayo, ila jambo la kuzingatia ni lishe ikiwa mama hapati vyakula vyenye virutubisho muafaka mtoto atakosa virutubisho hivyo hivyo hato kuwa vizuri sababu ni lishe duni lkn sio kujamiiana.

Ni sahihi kabisa mikoa ya lindi na mtwara wanashida sana ya chakula wao ni ugali marage kila siku mtoto akakuwa kweli ?lazima atadumaa,lkn hakuna uhusiano kati ya mapenz na ukuwaji wa mtoto kabisa.
 
Wasalaam wakuu,

Naomba kujuzwa kama kuna athari zozote za kiafya mtoto anaweza kupata endapo wazazi wake wakafanya mapenzi wakati yeye bado ananyonya. Huku Umakondeni kwetu wanadai kuwa ukifanya mapenzi bila kinga yeyote wakati mtoto ananyonya kunaweza kuathiri ukuaji wake hasa uzito, kuongeza hatua mfano anaweza kuchelewa kutembea au kusimama na nk.

NB: Wife anatumia njia ya uzazi wa mpango

Ni kweli iwapo utampa mimba nyingine huku mtoto bado mdogo ananyonya maana maziwa ya mama huwa yanakuwa mepesi hayana nutrients so mtoto hudhoofika kama atakuwa hajafikisha umri wa kula solids(vyakula vigum) na pia SIO kweli kama hamtapeana mimba provided mama awe amepona ili asiumie na kuambukizwa magonjwa kirahisi.
 
hata ukimpa mimba mtoto atanyonya muda wa miez sita haina madhara yeyote ni iman potofu nadhan walitumia mamababu kuwatisha watu waogope mapenz wakati wanalea
 
hata ukimpa mimba mtoto atanyonya muda wa miez sita haina madhara yeyote ni iman potofu nadhan walitumia mamababu kuwatisha watu waogope mapenz wakati wanalea

mkuu.. akimpa mimba mapema kuna mabadilikomakubwa ya hormones lazima yatikee ili ku-maintain hiyo mimba na hivyo hormonal cintrol ya maziwa lazima iasirike,mtoto anaweza asipate virutubisho muhimu kwa ajili yake.
 
Kama ni wazazi halali hakuna madhara, ila ikiwa mama ataiba kwa mwanaume mwingine mtoto atapata madhara. Ndio kubemendwa huko
 
Kinachotakiwa ni usafi jamani sio mama katoka kufanya mambo yake hata hajaenda kuoga anakimbilia anamnyonyesha mtoto
 
mkuu.. akimpa mimba mapema kuna mabadilikomakubwa ya hormones lazima yatikee ili ku-maintain hiyo mimba na hivyo hormonal cintrol ya maziwa lazima iasirike,mtoto anaweza asipate virutubisho muhimu kwa ajili yake.

yapu angalau miezi 6 ipite mtoto awe anaweza kula uji nk
 
Je? Mama akajamiiana na m2 mwngne asiye baba wa mtoto? Iyo imekaaje nayo wakuu!
Hakuna problem. Fikirini ki sayansi na siyo kimazingaombwe. Lishe ndo mpango mzima kwa mtoto.

Kinachotokeaga vijijini mwanamke akiwa na mwanaume mwingine muda wa ku take care mtoto wake unapungua. Hivyo mtoto ana kosa matunzo mazuri ikiwemo kukosa lishe na kudhoofika wanakoita kubemenda
 
kama n mtoto wenu kiuhalisia haina athari, ila mzingatie usafi zaidi!

ila kama sio mtoto wako utamsababishia matatizo huyo mtoto(kumbemenda), otherwise its safe muhim apone majeraha ya uzazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom