Mamlaka zinazohusika mwangalieni mkuu wa kituo cha polisi cha Mwenge. Huyu mama anakula rushwa haradani, Nitaeleza. Hapo mwenge kuna wamachinga, Ambao kimsingi,,Mkuu wa wilaya kawatengea eneo rasmi la kufanyia biashara zao.
Lakini mkuu wa kituo cha polisi mwenge, Huamasisha baadhi yao wasiende...
Unaambiwa ukistajabu ya musa utaona ya firauni, Hivi ndio naweza kusema ukifanikiwa kupita eneo la mwenge jioni hii.
Nakumbuka rais aliruhusu machinga wafanye biashara zao, Lakini alitadharisha kutokubugudhi walipa kodi wengine.
Sijajua ni kiongozi gani karuhusu barabara ya mwenge sokoni...
Nawaza kwa sauti, Mara PaaaP 2020 Membe anachuku fomu na Magufuli. Huku na huku wanatumia dola Magu anajipitisha kibabe.
Baada ya Maasaa 24 Membe anaita vyombo vya habari na Kujiunga na CHADEMA na washirika wake.
Nape, Bashe na Serukamba wanaungana na Membe.
Tukiwa tunashangaa Comrade Kinana...
Ni kiri wazi mimi nina imani kali sana unapozungumzia Mungu au Yesu kristo, Ni moja kati ya watu ninaoamini Mungu yupo na sisi sote ni mali yake.
Lakini taratibu nimeanza kuwa mtoro kanisani, si kwamba siombi Mungu. Hapana, Namwomba Mungu lakini nikiwa nyumbani au popote nitembeapo kimya kimya...
Nina miaka 18 kwenye biashara katika kipindi chote hicho,Nimepitia milima na mabonde.” Yani changamoto” Kitu ambacho ni cha kawaida kwenye biashara yoyote.
Lakini leo nakiri kwamba, Awamu hii imeuwa juhudi za watu wengi kufikia malengo yao kibiashara, Biashara zimeyumba kabisa, Mauzo yameshuka...
Baada ya Lowassa kurudi CCM kwa hali ya kinyonge na CHADEMA kubaki imara bila mtikisiko wowote.
CCM wameandaa mkakati wa kurubuni watanzania kuonyesha picha kuwa Lowassa kahama na watu.
Mkakati uliopo ni kuwa,Lowassa ataanzia mwanza na kunataarifa wapo wamachinga wameandaliwa na vijana wa CCM...
Wandugu wapendwa salaam,
Naomba nizungumzie kidogo nia na malengo halisi ya Josephat Nyamwaya na wenzake.
Alianza mtu aitwaye Nkwazi Mhango yapata wiki moja iliyopita. Jana akafuatia Nyamwaya na leo ni zamu ya anayeitwa Martin Maranja Masese.
Wote wanaelekea kunipenda sana. Wote hawataki...
Mjadala unaoendelea kuhusu hatua ya KKKT kuwaadhibu baadhi ya maaskofu waliogoma kusoma waraka wa kanisa, unakosa unahitaji kumbukumbu kadhaa ili kuuweka sawa.
1. Mwaka 1992 kanisa hilo liliamua kuwabariki wanawake katika huduma ya uchungaji. Dayosisi 6 kati ya 20 za wakati huo hazikuunga mkono...
Idadi ya viwanda na miradi inayozinduliwa nchini awamu hii ya tano,Imekuwa mingi masikioni ila machoni michache.
Ebu tusaidiane popote ulipo nchini,Taja kiwanda kipya ulichoshuhudia ujenzi wake mpaka kukamili na kuanza kazi.
Taja aina ya kiwanda,Mkoa kilipo na wilaya,Ili tuweze kuvijua na...
Kuna dhambi CCM wanatenda mchana kweupe kwa kulaghai wana Kinondoni na Siha, eti mkichagua upinzani hamtapata maendeleo, mkichagua mbunge wa upinzani serekali haitapeleka maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani.
Kisingizio chao ni kuwa mbuge wa CCM anaweza kuwasiliana na rais kirahisi...
Hili ni endekezo langu kwa viongozi wa CHADEMA kuhusu kufunga kampeni jimbo la Kinondoni.
Wawashieni moto CCM kwa kufunga kampeni zenu kwa watu wafuatao:-
Maalim Seif
Sheikh Ponda kwa ajili ya Dua
Babu Duni
Sugu
Freeman
Heche
Msigwa
Na wabunge wote wa majimbo ya DSM
n.k
Pia itapendeza...
Uchaguzi mdogo wa warudio umefanyika leo lakini wapiga kura wamesusa,Pamoja na tume ya uchaguzi kuufanya jumamosi ili ccm wasipate aibu ila mbinu imegonga mwamba.
Polepole kakimbilia ikulu ili magazeti yasiongelee huu uchaguzi news rom muwe makini ni mkakati
Mtajiongezea kura ila mmebaki uchi,Aibu!
Nilihudhuria kwenye mazishi ya mke wa Kingunge rais sijamona,Kingunge na mke wake wamepigania uhuru wa tanzania ndio maana leo JPM ni rais na si mzungu.
Kwanini rais hakumpa mzee huyu heshima yake?Makaburi ya Kinondoni na ikulu hamna kilomita 4.
Mama Nyerere katoka Butihama kaja kuzika,Rais...
Siasa zikiingia kwenye maisha ya watu ni jambo hatari sana.
Mnakumbuka Mwijage aliambiwa afute umiliki wa viwanda vyote ambavyo hajaendelezwa?
Mnakambuka mbwembwe za agizo hilo.Ebu niambie popote ulipo nchi hii ni kiwanda gani serekali imekichukua na kiligeuzwa godauni?Lile tamko utekelezaji...
Tanzania imekuja kuwa nchi ya ajabu sana. Bunge lipo gizani.
Mawaziri wanazindua miradi ya maana gizani Lakini Makonda anaweka show mlimani city TBC wanarusha live matangazo toka mchana.
Hivi ni kipi kipaombele chetu?Tumelogwa au ni laana?
Tunaposema hali ya uchumi ni mbaya wapo watu wanabisha kisa wapo kwenye cheni ya ulaji.
Ila mtaani hali imekuwa tete sana,Vijana wengi wameanza kufilisika na kuuziwa vinyumba vyao.
We fikiri kwa uzuri wa zile nyumba za lugumi na maeneo zilipo,Leo ni karibu mwaka zimekosa mnunuzi.Na kwa hali hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.