Napendekeza list hii Ifunge kampeni jimbo la Kinondoni

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,837
Hili ni endekezo langu kwa viongozi wa CHADEMA kuhusu kufunga kampeni jimbo la Kinondoni.

Wawashieni moto CCM kwa kufunga kampeni zenu kwa watu wafuatao:-

Maalim Seif

Sheikh Ponda kwa ajili ya Dua

Babu Duni

Sugu

Freeman

Heche

Msigwa

Na wabunge wote wa majimbo ya DSM
n.k

Pia itapendeza sauti ya shujaa wa Tanzania, Tundu Lissu ikarekodiwa na kurushwa live uwanjani.

Pendekezo hili likifanyiwa kazi na kuwa Live kwenye mitandao ya kijamii Mtulia na genge lake wanarudi kulima nyanya Jumapili ijayo.
 
Pendekezo langu kwa viongozi wa chadema kuhusu kufunga kampeni jimbo la kinondoni.
Wawashieni moto Ccm kwa kufunga kampeni zenu kwa watu wafuatao.
Maalim Seef
Sheikh Ponda kwa ajili ya Dua
Babu Duni
Sugu
Freeman
Heche
Msigwa
Na wabunge wote wa majimbo ya DSM
n.k
Pia itapendeza sauti ya shujaa wa tz Tundu Lissu ikarekodiwa na kurushwa live uwanjani.
Pendekezo hili likifanyiwa kazi na kuwa Live kwenye mitandao ya kijamii Mtulia na genge lake wanarudi kulima nyanya jumapili ijao.
Watakamatwa kwa kufanya siasa kwenye majimbo yasiyo yao.
 
Hakuna jipya hapo, watu wamechoka na undumilakuwili wao. Wamekosa msimamo katika kusimamia sera zao.
 
Sugu tu ndo anasubiriwa huku kinondoni kama maji.

Yani akisimama tu jukwaani, mtulia vipande vipande
 
Pendekezo langu kwa viongozi wa chadema kuhusu kufunga kampeni jimbo la kinondoni.
Wawashieni moto Ccm kwa kufunga kampeni zenu kwa watu wafuatao.
Maalim Seef
Sheikh Ponda kwa ajili ya Dua
Babu Duni
Sugu
Freeman
Heche
Msigwa
Na wabunge wote wa majimbo ya DSM
n.k
Pia itapendeza sauti ya shujaa wa tz Tundu Lissu ikarekodiwa na kurushwa live uwanjani.
Pendekezo hili likifanyiwa kazi na kuwa Live kwenye mitandao ya kijamii Mtulia na genge lake wanarudi kulima nyanya jumapili ijao.
Wewe bado unamfikiria Babu Duni wakati alishawaambia chadema wana matatizo..kule kila mtu ni kiongozi na anatoa maagizo..chezea Saccos wewe..
Chama kina wenyewe kamanda..Babu duni aliwatupia virago lichama lenu kulee
 
Hili ni endekezo langu kwa viongozi wa CHADEMA kuhusu kufunga kampeni jimbo la Kinondoni.

Wawashieni moto CCM kwa kufunga kampeni zenu kwa watu wafuatao:-

Maalim Seif

Sheikh Ponda kwa ajili ya Dua

Babu Duni

Sugu

Freeman

Heche

Msigwa

Na wabunge wote wa majimbo ya DSM
n.k

Pia itapendeza sauti ya shujaa wa Tanzania, Tundu Lissu ikarekodiwa na kurushwa live uwanjani.

Pendekezo hili likifanyiwa kazi na kuwa Live kwenye mitandao ya kijamii Mtulia na genge lake wanarudi kulima nyanya Jumapili ijayo.
Wewe utasababisha KJ 931 Mafinga, wale makomandoo wa kuvunja matofali na nondo za plastiki, yale mapower tank, jet figter, na lile mother of all bombs, wakiongozwa na jemedari wa vita/ field Marshall, hakimu wa mahakimu, jaji wa majaji, mwanadamu mwenye uthubutu wa kumkosoa MUNGU, wayalete kino na siha
 
Wazee wa pyuuu pyuu pyuuuuuu, hawajawahi kumuacha mtu salama, upinzani wanasindikiza tuu. Muda utaongea.
 
Hili ni endekezo langu kwa viongozi wa CHADEMA kuhusu kufunga kampeni jimbo la Kinondoni.

Wawashieni moto CCM kwa kufunga kampeni zenu kwa watu wafuatao:-

Maalim Seif

Sheikh Ponda kwa ajili ya Dua

Babu Duni

Sugu

Freeman

Heche

Msigwa

Na wabunge wote wa majimbo ya DSM
n.k

Pia itapendeza sauti ya shujaa wa Tanzania, Tundu Lissu ikarekodiwa na kurushwa live uwanjani.

Pendekezo hili likifanyiwa kazi na kuwa Live kwenye mitandao ya kijamii Mtulia na genge lake wanarudi kulima nyanya Jumapili ijayo.

Ninachojua tu ni kwamba hata uwalete Malaika kutoka Mbinguni waje wafunge Kampeni ya CHADEMA ila tayari Wenzenu mnaopambana nao wameshamaliza mchezo zamani sana na hiyo Jumapili siku ya Uchaguzi wanaenda tu kukamilisha ratiba.
 
Back
Top Bottom