Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Mamlaka zinazohusika mwangalieni mkuu wa kituo cha polisi cha Mwenge. Huyu mama anakula rushwa haradani, Nitaeleza. Hapo mwenge kuna wamachinga, Ambao kimsingi,,Mkuu wa wilaya kawatengea eneo rasmi la kufanyia biashara zao.
Lakini mkuu wa kituo cha polisi mwenge, Huamasisha baadhi yao wasiende eneo walilotengeawa. Na hivyo anawauzia eneo la barabarani.
Kila meza moja huyu mama anauza kwa laki moja. Hivyo kusababisha kero kwa watu wengine wanaofanya manunuzi yao mwenge pamoja na wafanyabiashara wa eneo hilo.
Niliona jitihada za kuwatoa zimefanyika na halimashauri lakini baada ya masaa kadhaa machinga wakajichanga na kumpa rushwa Mkuu wa kituo na kuwarejesha tena.
IGP watume vijana wako mwenge wapeleleze juu ya hili utapigwa na butwaa. Mbaya zaidi mkuu wa polisi mwenge kutokana na kuwa na maslahi binafsi na machinga hao wachache, Amekuwa anaingilia majukumu ya mtendaji wa kata husika, Na hivyo kuwa na mgogoro wao kwa wao.
Na kwa taarifa ni kuwa mkuu huyu wa kituo cha polisi mwenge anazo meza zake alizopanga barabarani na kuzipangisha kwa machinga,Kazi yake ni kuokota ushuru kinyemela na kuweka mfukoni. mamlaka chukueni hatua za haraka kabla ya mambo kuharibika.
Ni mimi mzalendo mpita njia!
Lakini mkuu wa kituo cha polisi mwenge, Huamasisha baadhi yao wasiende eneo walilotengeawa. Na hivyo anawauzia eneo la barabarani.
Kila meza moja huyu mama anauza kwa laki moja. Hivyo kusababisha kero kwa watu wengine wanaofanya manunuzi yao mwenge pamoja na wafanyabiashara wa eneo hilo.
Niliona jitihada za kuwatoa zimefanyika na halimashauri lakini baada ya masaa kadhaa machinga wakajichanga na kumpa rushwa Mkuu wa kituo na kuwarejesha tena.
IGP watume vijana wako mwenge wapeleleze juu ya hili utapigwa na butwaa. Mbaya zaidi mkuu wa polisi mwenge kutokana na kuwa na maslahi binafsi na machinga hao wachache, Amekuwa anaingilia majukumu ya mtendaji wa kata husika, Na hivyo kuwa na mgogoro wao kwa wao.
Na kwa taarifa ni kuwa mkuu huyu wa kituo cha polisi mwenge anazo meza zake alizopanga barabarani na kuzipangisha kwa machinga,Kazi yake ni kuokota ushuru kinyemela na kuweka mfukoni. mamlaka chukueni hatua za haraka kabla ya mambo kuharibika.
Ni mimi mzalendo mpita njia!