Mara PaaP, Jakaya, Kinana Wanamuunga Mkono Membe 2020.

Mara PaaP, Jakaya, Kinana Wanamuunga Mkono Membe 2020.

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Nawaza kwa sauti, Mara PaaaP 2020 Membe anachuku fomu na Magufuli. Huku na huku wanatumia dola Magu anajipitisha kibabe.

Baada ya Maasaa 24 Membe anaita vyombo vya habari na Kujiunga na CHADEMA na washirika wake.

Nape, Bashe na Serukamba wanaungana na Membe.

Tukiwa tunashangaa Comrade Kinana akiwa arusha naye anaungana na Membe.

Wakati tungishangilia Jakaya anaita Press Msoga na kutangaza kuungana na Membe huko upinzani.

We unaonaje, Nani ataibuka kidedea. Membe au Magufuli?

Usiseme haiwezekani, Kwenye politics kila kitu kinawezekana.
 
Nawaza kwa sauti, Mara PaaaP 2020 Membe anachuku fomu na Magufuli. Huku na huku wanatumia dola Magu anajipitisha kibabe.
Baada ya Maasaa 24 Membe anaita vyombo vya habari na Kujiunga na chadema na washirika wake.Nape, Bashe na Serukamba wanaungana na Membe.
Tukiwa tunashangaa Comrade Kinana akiwa arusha naye anaungana na Membe.
Wakati tungishangilia Jakaya anaita Press Msoga na kutangaza kuungana na Membe huko upinzani.

We unaonaje, Nani ataibuka kidedea. Membe au Magufuli?
Usiseme haiwezekani, Kwenye politics kila kitu kinawezekana.
Hahahaa....... Umenikumbusha faiza foxy
 
Nawaza kwa sauti, Mara PaaaP 2020 Membe anachuku fomu na Magufuli. Huku na huku wanatumia dola Magu anajipitisha kibabe.

Baada ya Maasaa 24 Membe anaita vyombo vya habari na Kujiunga na CHADEMA na washirika wake.

Nape, Bashe na Serukamba wanaungana na Membe.

Tukiwa tunashangaa Comrade Kinana akiwa arusha naye anaungana na Membe.

Wakati tungishangilia Jakaya anaita Press Msoga na kutangaza kuungana na Membe huko upinzani.

We unaonaje, Nani ataibuka kidedea. Membe au Magufuli?

Usiseme haiwezekani, Kwenye politics kila kitu kinawezekana.
Magufuli atashinda maana hao tulishaona ufanyakazi wao. Au niseme kwa kifupi - zilipendwa.
 
Nawaza kwa sauti, Mara PaaaP 2020 Membe anachuku fomu na Magufuli. Huku na huku wanatumia dola Magu anajipitisha kibabe.

Baada ya Maasaa 24 Membe anaita vyombo vya habari na Kujiunga na CHADEMA na washirika wake.

Nape, Bashe na Serukamba wanaungana na Membe.

Tukiwa tunashangaa Comrade Kinana akiwa arusha naye anaungana na Membe.

Wakati tungishangilia Jakaya anaita Press Msoga na kutangaza kuungana na Membe huko upinzani.

We unaonaje, Nani ataibuka kidedea. Membe au Magufuli?

Usiseme haiwezekani, Kwenye politics kila kitu kinawezekana.
Labda agombee kwa chadema maana sisiemu walishapitisha mtu wao ktk kikao chao!
 
Nawaza kwa sauti, Mara PaaaP 2020 Membe anachuku fomu na Magufuli. Huku na huku wanatumia dola Magu anajipitisha kibabe.

Baada ya Maasaa 24 Membe anaita vyombo vya habari na Kujiunga na CHADEMA na washirika wake.

Nape, Bashe na Serukamba wanaungana na Membe.

Tukiwa tunashangaa Comrade Kinana akiwa arusha naye anaungana na Membe.

Wakati tungishangilia Jakaya anaita Press Msoga na kutangaza kuungana na Membe huko upinzani.

We unaonaje, Nani ataibuka kidedea. Membe au Magufuli?

Usiseme haiwezekani, Kwenye politics kila kitu kinawezekana.
Kikwete ameshashika nafasi ya urais kwa miaka 10 na ndiyo maana HAWEZI kufanya jambo la kijinga kama hilo. Kwanini? Kwa sababu anajua nguvu na uwezo aliyonao rais na amiri jeshi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pengine wengi mmesahau nguvu aliyokuwa nayo Lowassa kuelekea uchaguzi wa 2015! Lakini pamoja na nguvu na kila uungwaji mkono aliokuwa nao bado ''alitulizwa'' na kutulia kama zoba fulani hivi. Hizo ndizo zinautwa nguvu za amiri jeshi mkuu na rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom