Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Baada ya Lowassa kurudi CCM kwa hali ya kinyonge na CHADEMA kubaki imara bila mtikisiko wowote.
CCM wameandaa mkakati wa kurubuni watanzania kuonyesha picha kuwa Lowassa kahama na watu.
Mkakati uliopo ni kuwa,Lowassa ataanzia mwanza na kunataarifa wapo wamachinga wameandaliwa na vijana wa CCM kumpokea na kujifanya nao wanahama CHADEMA na kurudisha kadi feki za CHADEMA.
Mkakati huo utafanyika kwenye majiji yote Tanzania na baadhi ya miji
CCM wameandaa mkakati wa kurubuni watanzania kuonyesha picha kuwa Lowassa kahama na watu.
Mkakati uliopo ni kuwa,Lowassa ataanzia mwanza na kunataarifa wapo wamachinga wameandaliwa na vijana wa CCM kumpokea na kujifanya nao wanahama CHADEMA na kurudisha kadi feki za CHADEMA.
Mkakati huo utafanyika kwenye majiji yote Tanzania na baadhi ya miji