Mwaka 2016 mwezi wa sita ,UDART mlituhamasisha kununua kadi za machine za mwendokasi za kielectronic, ili kuondoa uchafu wa tiketi za karatasi na msongamano wa watu kwenye madirisha ya kulipia.
Na watu tulihamasika tukazinunua na zilikuwa zinatusaidia tunapokuwa tunafanya safari na mabasi yenu...
1. Anahitajika mtalaam wa maabara mwenye certificate yaani technician certificate in medical laboratory
technology *nafasi moja*
2. Anahitajika muuza duka la dawa (pharmacy ) mwenye certificate yaani technician certificate in
Pharmaceutical sciences *nafasi moja* awe...
1. Anahitajika mtalaam wa maabara mwenye certificate yaani technician certificate in medical laboratory
technology *nafasi moja*
2. Anahitajika muuza duka la dawa (pharmacy ) mwenye certificate yaani technician certificate in
Pharmaceutical sciences *nafasi moja* awe...
Tangazo la kazi
Anahitajika pharmacist mwenye degree kusimamia pharmacy iliopo Kigamboni
Mshahara Tsh 1000000/= offer mishahara ya miezi mitatu ya mwanzo kwa mkupuo yaani Tsh 3000000/=
Mawasiliano 0713214258 email : paulmapili2@gmail.com
Ndugu wana JamiiForums,
Nimekuwa nikifuatilia jinsi wazee hapa nchini wanavyopata shida wanapokuwa wanafuatilia matibabu katika hospital mbalimbali hasa zile zinazomilikiwa na serikali.
Pamoja na kuweka chumba maalumu cha matibabu ya wazee, lakini usumbufu ni mkubwa ,hasa anapokuwa hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.