mbalila
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 823
- 157
shule gani hii, hata usipoficha.... zile za mwisho itakuwepoKana wanafunzi wana F ya hesabu lakini wana divition IIView attachment 1007670
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio bahati yao,usiwaamshe waliolalaKana wanafunzi wana F ya hesabu lakini wana divition IIView attachment 1007670
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo hiyo tu shule zote hakuna penalty ya hesabuHalafu inaonesha ni shule ya kidini ya kiislam... Math wote wamepata F
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali imeona inapoteza one,two nyingi kwa penalty,refa kapeta
Wanabahati Sanaa mwaka huuHata mimi mdgo wangu amepata 2.21 ila ana f ya no nmeshangaaa maana mimi nilipigwaga 3.21
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakokotoa divison kutokana na masomo 7 mwanafunzi aliyofanya vizuri kabisa. Hawaangalii ni masomo gani. Ukiwa na chini ya masomo 7 basi wewe Division 0 inakuhusu hata kama una A tupu.Kana wanafunzi wana F ya hesabu lakini wana divition II