Mkasa mkasaaa. Mkasa huu nilisimuliwa zamani kidogo na jamaa yangu mmoja lakini umenikaa kwa kichwa hadi leo. Haya mkasa huu ulimtokea kaka mmoja akitokea moja ya nchi za Afrika ya mashariki, alipoenda kutafuta maisha katika moja ya nchi za mashariki ya kati.
Bwana huyu alipata kazi ya udereva...
Kwa miaka ya hivi karibuni watu wanaokuwa diagnosed na UTI imeongezeka maradufu. Katika kutafuta sababu nimekuja na sababu tatu ambazo zinazoweza kuchangia.
Wakuu, je wewe unadhani ipi ni sababu kubwa kwa ongeze la ugonjwa huu kati ya hizi
A: Ongezeko la mwanawake wa sikuhizi kushindwa...
Waaah, sijawahi waza kuna baiskeli za bei hii. Eti $ 11,999.99. Na hapo bado nitumie miguu yangu kuisukuma huko milima ya uluguru, na hapo inakuja bila pedals, hizo unalipia extra.
Wakuu wa JF, Mimi naishi US na niko huku miaka mingi tu, lakini sasa hivi hali ya uhamiaji ni tete, uwe unaishi kiharamu au kihalali. Naona naweza kurudishwa bongo muda wowote, naomba msaada wa mawazo jinsi navyoweza kuendesha maisha nikiwa huko. Nijipange sasa
Wakuu nimeamua kujenga, Mjini hakuna baba/mama mwenye gari ila baba/mama mwenye nyumba. Naomba ushauri juu ya mbinu na njia zote za kubana matumizi kuanzia hatua za kwanza za ujenzi hadi za mwisho. Nahitaji economical and efficient ways za kujenga nafuu. Karibuni
Nina eneo lenye ukubwa ya karibia nusu heka maeneo ya Kimara Suka, Kama dakika tano toka Morogoro road kwa mguu. Kuna mjengo ambao haujaisha, ambao unaweza kuwa hall ya sherehe, godown, ama office. (kupangisha bank, kampuni ya simu, nk). Kwa hivyo vitatu hapo ipi italipa zaidi, kuna utaratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.