Bei hii ni motoooo

Bei hii ni motoooo

Rose Bud

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2013
Posts
252
Reaction score
258
Waaah, sijawahi waza kuna baiskeli za bei hii. Eti $ 11,999.99. Na hapo bado nitumie miguu yangu kuisukuma huko milima ya uluguru, na hapo inakuja bila pedals, hizo unalipia extra.
20180806_232453.jpg
 
Kwani hiyo baiskeli ulikuwa unaihitaji au ni window shopping tu?
 
Baiskeli kama ya bei hyo niliomba kuendesha aisee inakitu flani hv wala hunyongi sana inakimbia balaa na wala hunyongi sana
 
Hahah humu watu mnafurahisha jamani doh
Niliamua kuiendesha kwa kuwa hyo bei yake ni ya gari johberg wakubwa kadhaa wanazo ikopoa yani fasta si mchezo yani kunyonga pedeli kidogo sana ilanhyo speed simchezo haichoshi hata.
 
hivyo vitu vinanunuliwa kwa ajili ya starehe ndugu na wanaonunua hivyo wamepaki ranger nyumbani
 
Back
Top Bottom