hii ni Internal Vacancy kama kichwa cha habari kinavyo jionyesha hapa chini
UNITED NATIONS WORLD FOOD PROGRAMME INTERNAL VACANCY ANNOUNCEMENT
"WFP is an equal opportunity employer and qualified women are strongly encouraged to apply"
Kaka Ntagunga
kwa nchi zilizoona tatizo matatizo ya dhana hiyo ya utumiaji nguvu na unyanyasaji wa Raia wanawaita Idara ya Polisi (Police Department au police Service)
Mfano wa karibu:
Following the promulgation of the new Constitution of Kenya on 27 August 2010, as laid down in Chapter 17...
kabla hawajaleta hoja ya polisi jamii walitakiwa wafanye mabadiliko makubwa yenye tija ndani ya polisi,halafu waijenge upya imani waliyoipoteza toka kwa wananchi then ndio waje na kupandikiza wazo la polisi jamii.
Kwanza waache kuitwa Jeshi la polisi hili neno jeshi linawajengea dhana ya...
Kwanza tusahihishane ktk jina inaitwa Associate Degree na sio Associated Degree
Degree hii inatolewa ktk mfumo wa US baada ya kukamilisha miaka 2 ktk junior universities na Colleges.
Roughly tunaweza kusema ni kama Foundation degree kwa mfumo wa UK BTEC
Hong Kong introduced associate degrees, as...
Kwa hapa TZ ni mafunzo yanapatikana ktk vyombo vya dola TISS,JWTZ na Polisi,hivyo sharti uwe mmoja wao kupata mafunzo hayo.
Kwa wenzetu kama USA hiyo ni field of study kama nyinginezo unaweza kusoma katika universities kadri ya uwezo wako
Hawa wa "k" wametumwa kwa maslahi ya wakubwa.Wakubwa hawataki tena kwenda na vita ya ardhini halafu wakapigwa kwa mara ingine tena,ndio sababu France inawasaidia kenya kurusha makombora kutokea kwenye meli yake ya kivita bahari ya Hindi na Marekani imeweka base yake ya drones kama sikosei...
Elgiva Bwire has been jailed for life after admitting that he was an Al Shabaab member and was behind the attack in Nairobi's OTC bus stop on the evening of Monday October 24.
Bwire, alias Mohamed Seif told said he had no regrets after a magistrate read out the sentence for his crimes, that...
kwa mara ya kwanza ninakubaliana na Polisi ktk hili sababu kwa kipindi hiki ambacho hali ni tete hawa jamaa Al shabab wanaweza kutupiga ktk maandamano na kusababisha mass casualty, tukikumbuka uganda jinsi walivyoshambuliwa wakati wakiangalia world cup.
Kifupi kwa kipindi hiki tujiepushe na...
Alichokisema kinatokana na threat analysis waliyofanya,sasa tatizo ni kuwa tutashambuliwaje hilo si rahisi kufahamu mpk kuwa na reliable source of information.Katika lugha nyingine pilisi jamii inatumika hapa kwa kushirikisha umma endapo utaona jambo lolote lililo ndivyo sivyo basi utoe taarifa...
Inani kumbukumbusha nyimbo za shule ya msingi
1.Tanzaniiiiiia Tanzaniiiiiia nakupenda kwa moyo wote.........
2.Mbuga za wanyama Tanzania ya kwanza ni Serengeti,ngorongoro,Manyara na mikumi......
3.Tanzania Tanzania nchi yenye mali nyingi watu wengi wa ulaya wana ililia sana..........
Kazi nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.