1. Ilani ya Chadema katika SURA ya 12.1 (a), inakusudia kuuza Nchi kwa kuweka REHANI madini yetu. Jaribio hili litaleta mgogoro mkubwa wa ardhi kati ya Wananchi na watakaopewa madini hayo kwa dhamana wakati wa matumizi ya ardhi kwa kuwa madini yapo chini ya ardhi na wakati wote wa REHANI ardhi...
1. Chama Cha Mapinduzi kimeendelea kuthamini na kudumisha Muungano wetu ambao ni wa kipekee na kihistoria, uliounganisha nchi mbili zilizokuwa huru za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.
2. Muungano huu ni nguzo ya umoja, mshikamano, amani na utulivu wa wananchi wa pande zote...
Nitapiga KURA ya NDIO kuichagua CCM ifikapo tarehe 28 Oktoba 2020.
Nitaichagua kwa sababu sababu zifuatazo;
1. Ndicho Chama pekee kinacholinga na kutetea Muungano wa Tangangika na Zanzibar.
2. Ndicho chama pekee ambacho Wagombea wake wanapinga hadharani ushoga.
3. Ndicho chama pekee...
Ilani ya Chadema ni TAKATAKA ya kutupwa dampo. Haiwezi kuongoza hata kijiji.
Ilani haina utafiti wowote wala analysis yoyote imeandikwa kama barua ya posa.
Inasema tutaboresha barabara bila kueleza tatizo la barabara ni kubwa kwa kiasi gani na wataanza na barabara gani kwa muda gani. Kwa Ilani...
1. Mgombea wa CCM akihubiri Upendo, Umoja, Amani na Mshikamano; Mgombea wa CHADEMA anahubiri mafarakano na utengano baina ya Watanzania wenyewe.
2. Mgombea wa CCM anaeleza namna kusimamia na kuboresha Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar; Mgombea wa CHADEMA anahubiri kuuvunja ndani ya siku...
Imeandikwa, kiburi si maungwana na mtoto mkaidi hawezi kufaidi hadi siku ya Iddi. Tundu Lissu anaingia katika kundi hili kwa kushauriwa vibaya au kukaidi ushauri mzuri.
1. Aliemshauri Lissu kuwa baada ya kuadhibiwa na Kamati ya Maadili ya NEC anaweza kuendelea na shughuli za Chama kama Makam...
Tundu Lissu sio muumini wa Muungano wa Serikali mbili. CHADEMA sio waumini wa Muungano wa Serikali mbili. Muulizeni Lissu anataka kuwa Rais wa Muungano upi??
Ni hivi; tunatafuta Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao Lissu na CHADEMA hawautambui, wanasema ni batili, unaopaswa kuvunjika...
Kama ilivyo ada na kawaida kwa vyama vya siasa kuandaa Ilani yao ya uchaguzi yenye vipaumbele na sera wanazoenda kutekeleza baada ya kushinda uchaguzi na kuunda serikali, Chama Cha Mapinduzi kupitia Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imetoa Ilani ya CCM ya mwaka 2020-25 liyoeleza vipaumbele na...
Ili kujenga Taifa makini lenye ustawi na maendeleo, huduma za afya ni muhimu sana ili kuhakikisha wananchi wanakuwa na afya bora ili kuwawezesha kushiriki katika shughuli za maendeleo ya nchi. *Sura ya tatu ya Ilani ya CCM, kipengele cha 81 kwenye huduma za Jamii* imeeleza kwa kina mafanikio...
Kampeni za vyama mbalimbali vya siasa zimeendelea kutimua vumbi maeneo mbalimbali ya nchi yetu. Leo naomba nitoe dukuduku langu kwa uchache sana. Kwa mshtuko sana nimesikitika kuona baadhi ya vyama vya upinzani kuanza ubaguzi wa waziwazi kwa kuumia na kuweka nongwa Serikali kupeleka maendeleo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.