Kuwepo kwa askari wengi sio ishue,watu wanatongoza standi kwan kunakuwa hakuna lundo la watu? Au uwanja mpira na siku za mwenge je? "Malaya ni malaya africa hata ulaya"
Leo katika hali isiyo ya kawaida askari walitanda barabara kuania uwanja wa ndege wa Nduli mpaka ipogolo,kumbe kulikuwa na ujio wa rais mstaafu wa marekani,rais huyo aliwasili majira ya saa nne asubuhi na kuelekea kidabaga ambako inasemakana anamiliki kampuni la New forest ambalo lina eneo...
wana watesa tu watoto wa masikini,hapo huwezi kukuta mtoto wa waziri,balozi wa katibu mkuu wa wizira, ila wa mwenyekiti wa kitongoji,mlima nyanya,mfuga kuku. Mchoma vitumbua nk
Vile tumia akili kuwaza hao walioandika ni wapenzi wa chadema na sio wasemaji wa chedema, na mabando ya lowassa utasema ni ccm wamesema? Wakati nape kila leo analalama, make more sense than stupidy mistake
acha ujinga Pinda yupi? Waziri mkuu analia baada ya albino mmoja kukatwa mkono waka anauwezo wa kutoa amri walifanya kitendo wakafahamika,mbona wauaji wa RPC Mwanza tuliambiwa wanematwa,kwa kulia lia huko je tukivamiwa Rwanda itakuwaje? Wanasiasa wenzie wapigwe tu
Na huo ndo ujinga wa viongozi wa jeshi la polisi,badala ya kuwapa watu mbinu mbadala juu ya nini cha kufanya mara waonapo hali si saw,wao wanang'ang'ana tu na kanusha kila kitu,
Huo ni ujinga tu,kwa nn wasiwe specific ni vyuo vp, maana iringa kuna vyuo vingi sana vya utalii na sifa ni kumaliza form 4 kufauru au kufail haiwahusu unaingia tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.