Mbinu mpya za magaidi nchini na kauli tata ya Jeshi la Polisi

emmanuel1976

JF-Expert Member
Jun 17, 2011
301
79
Ndugu waheshimiwa wana jamvi.

Jana magaidi 10 wamekutwa ndani ya msikiti mmoja huko mkoani Morogoro wakiwa na silaha za sub machine guns, milipuko ya kulipulia majengo nk, majambia, manati, bendera nyeusi, sare za jeshi nk.

Juzi msemaji wa jeshi la polisi nchini Mhe. Bi. Advera alitoa tamko kali na kuonya kuwa kuna watu wanaojaribu kuwatisha watanzania kuwa kuna ugaidi nchini na kuwataka waache mara moja kana kwamba hakuna viashiria vya ugaidi nchini. Zaidi ya askari polisi 7 wameisha uliwa na magaidi huku magaidi wakijinadi kuwa Mhe. Rais hana jeshi la polisi.

Wiki kadhaa zilizopita kundi la vijana zaidi ya 140 walishikwa wakiwa wamejificha katika misikiti mitatu tofauti huko mkoani Kilimanjaro wakijinoa. Nk.


Bila shaka wapo watanzania wengi walioogopa kutoa ushahidi wa mwenenndo mzima wa makundi haya ya kigaidi nchini kwa kuogopa kauli ya jeshi la polisi. Je kwa tukio hili la magaidi waliokutwa msikitini Morogoro wakiwa na silaha hatari jeshi la polisi watatuomba radhi?
 
viongozi wa kitanzania wamezoea kuishi kiujanja ujanja hata aibu hawana poor on them

Mh. Nsongola. Mie naamini kuwa vyombo vya usalama havipaswi kupuuza taarifa yoyote wanayopewa iwe na uongo ama ya ukweli. Ni vigezo gani walivyotumia hadi kufikia hatua ya kukanusha kuwa hakuna ugaidi nchini?
 
Na sasa hivi hizi ajali unaweza kukuta wamebadili mbinu kwani zimekua nyingi mno kwa wakati mmoja wakati madereva ni wale wale. Jeshi la polisi linahitaji kuchunguza zaidi hizi ajali.
 
Wangekamatwa kwa Gwajima au kanisa la kilokole, lingefungwa siku hiyo hiyo, Kikwete ameiharibu sana hii nchi, Wapi Chikawe? Fanya ulilo ahidi, Shame on you kikwete na viongozi wako, Mtavurugika nyinyi na familia zenu ila Tanzania na watanzania tutastawi kwa jina la Yesu
 
viongozi wa kitanzania wamezoea kuishi kiujanja ujanja hata aibu hawana poor on them

Ndugu waheshimiwa wana jamvi.

Jana magaidi 10 wamekutwa ndani ya msikiti mmoja huko mkoani Morogoro wakiwa na silaha za sub machine guns, milipuko ya kulipulia majengo nk, majambia, manati, bendera nyeusi, sare za jeshi nk.

Juzi msemaji wa jeshi la polisi nchini Mhe. Bi. Advera alitoa tamko kali na kuonya kuwa kuna watu wanaojaribu kuwatisha watanzania kuwa kuna ugaidi nchini na kuwataka waache mara moja kana kwambal

hakuna viashiria vya ugaidi nchini. Zaidi ya askari polisi 7 wameisha uliwa na magaidi huku magaidi wakijinadi kuwa Mhe. Rais hana jeshi la polisi.

Wiki kadhaa zilizopita kundi la vijana zaidi ya 140 walishikwa wakiwa wamejificha katika misikiti mitatu tofauti huko mkoani Kilimanjaro wakijinoa. Nk.


Bila shaka wapo watanzania wengi walioogopa kutoa ushahidi wa mwenenndo mzima wa makundi haya ya kigaidi nchini kwa kuogopa kauli ya jeshi la polisi. Je kwa tukio hili la magaidi waliokutwa msikitini Morogoro wakiwa na silaha hatari jeshi la polisi watatuomba radhi?




viongozi wa kitanzania wamezoea kuishi kiujanja ujanja hata aibu hawana poor on them[/Q00
0
 
Ninaouna huu ni ugonjwa uliokaa sehemu mbaya ya serikali ambayo siku zote inalazimisha watu kuendelea kuona usafi wa serikali ya Mwalimu ambao mwalimu Nyerere aliondoka nao.

Badala ya kulazimisha watu waone kitu ambacho hakipo, ni vizuri serikali ikakubali kwamba hii iliyopo ndiyo picha halisi ya serikali ambayo haikujiumba baali imetengenezwa na uongozi wa serikali iliyopo.

Badala ya kung'n'gania kusifiwa na watu, serikali ijue tatizo la serikali ya kikwte ndilo limetuletea haya, sasa ni mapambano. Iratibu mbinu sahihi za kupambana, ikiwa ni pamoja na kutoa number za simu Tanzanai nzima kwa kila raia ama makampuni ya simu yazi automate na ziwe kwenye matangazo special ya simu zote ambazo zinawezesha intervention ya kijeshi ya haraka pale ambapo huduma hii itahitajika mahala popote na kwa uharaka.

Pili Serikalil iwape uhuru Wananchi kutoa taarifa na tahadhari wanapoona viashiria vya uharifu na iwape support badala ya kuwajengea ukuta wa kuwatishia kwamba wakisema wataona!. HaIVI HII NI NINI?

Ninajua serikali inatambua mioyo ya Watanzania kwamba hawana ubaya. vinginevyo jana wasingemsaidia yule askari aliyetaka kukatwa kichwa na gaidi msikitini.

KINYUME CHA PALE, SERIKALI IJIANDAE KWA AIBU KUBWA NA PANA.





Ndugu waheshimiwa wana jamvi.

Jana magaidi 10 wamekutwa ndani ya msikiti mmoja huko mkoani Morogoro wakiwa na silaha za sub machine guns, milipuko ya kulipulia majengo nk, majambia, manati, bendera nyeusi, sare za jeshi nk.

Juzi msemaji wa jeshi la polisi nchini Mhe. Bi. Advera alitoa tamko kali na kuonya kuwa kuna watu wanaojaribu kuwatisha watanzania kuwa kuna ugaidi nchini na kuwataka waache mara moja kana kwamba hakuna viashiria vya ugaidi nchini. Zaidi ya askari polisi 7 wameisha uliwa na magaidi huku magaidi wakijinadi kuwa Mhe. Rais hana jeshi la polisi.

Wiki kadhaa zilizopita kundi la vijana zaidi ya 140 walishikwa wakiwa wamejificha katika misikiti mitatu tofauti huko mkoani Kilimanjaro wakijinoa. Nk.


Bila shaka wapo watanzania wengi walioogopa kutoa ushahidi wa mwenenndo mzima wa makundi haya ya kigaidi nchini kwa kuogopa kauli ya jeshi la polisi. Je kwa tukio hili la magaidi waliokutwa msikitini Morogoro wakiwa na silaha hatari jeshi la polisi watatuomba radhi?
 
Na huo ndo ujinga wa viongozi wa jeshi la polisi,badala ya kuwapa watu mbinu mbadala juu ya nini cha kufanya mara waonapo hali si saw,wao wanang'ang'ana tu na kanusha kila kitu,
 
Wakati mwingine hata kama kuwa wazembe hii yetu imezidi. Kama siyo lazima kusema hawa viongozi wa polisi wanaweza kukaa kimya siyo lazima kusema. Maana wakati yule kijana alipokamatwa Garisa, viongozi wakuu wa polisi walisikika kila mara wakirudia sisi hatuna taarifa, huyo kijana hatuhusu. Sasa unashindwa kuelewa wana maanisha hayo au basi ni mbiunu za kazi. Ila ukiangalia kwa undani na matukio yanayofuata utabaini kuwa walimaanisha na uzembe wa hali ya juu. Yule kijana hayupo mwenyewe lazima ni mtandao mkubwa na hayupo mwenyewe Tanzania, nilidhani ni fursa nzuri kwa jeshi letu kutumia utaalam wao kwa hao waliokamatwa ili kuweza kubaini mtandao wote. Tunashindwa kufanya kazi hata pale penye vaishiria vya wazi vya hatari iliyopo mbele yetu, je tutaweza sasa kubaini matukio ambayo yapo mengi ya harati ambayo hayana pa kuazia? wagaidi au amajambazi yanatamba, yanaiba silaha kwenye vituo vya polisi na hata kuwaua polisi lakini bado tunaendelea kusema tupo salama. Au kwetu ukosefu wa usalama ni vita tu?
 
Kikwete anaingiaje hapo, yeye kaliwezesha Jeshi la Polisi kwa kila kitu, leo hii Jeshi la Polisi huwezi kulinganisha na miaka 10 iliyopita, kwa sasa wapo kidigitali. kama Polisi wanafeli ni wao kwa kutokua Wabunifu, hata hivyo tuipende nchi kwa kutoa taarifa kila unapoona viashiria vyovyote vya hatari.

Wangekamatwa kwa Gwajima au kanisa la kilokole, lingefungwa siku hiyo hiyo, Kikwete ameiharibu sana hii nchi, Wapi Chikawe? Fanya ulilo ahidi, Shame on you kikwete na viongozi wako, Mtavurugika nyinyi na familia zenu ila Tanzania na watanzania tutastawi kwa jina la Yesu
 
Jeshi letu la Polisi lina ugonjwa wa kufisha kabisa,labda kwa tukio hili litaamka na kuanza kufanya kazi zake badala ya kuwasakama GWAJIMA na watu wengine wasio na hatia.
 
Wakati mwingine hata kama kuwa wazembe hii yetu imezidi. Kama siyo lazima kusema hawa viongozi wa polisi wanaweza kukaa kimya siyo lazima kusema. Maana wakati yule kijana alipokamatwa Garisa, viongozi wakuu wa polisi walisikika kila mara wakirudia sisi hatuna taarifa, huyo kijana hatuhusu. Sasa unashindwa kuelewa wana maanisha hayo au basi ni mbiunu za kazi. Ila ukiangalia kwa undani na matukio yanayofuata utabaini kuwa walimaanisha na uzembe wa hali ya juu. Yule kijana hayupo mwenyewe lazima ni mtandao mkubwa na hayupo mwenyewe Tanzania, nilidhani ni fursa nzuri kwa jeshi letu kutumia utaalam wao kwa hao waliokamatwa ili kuweza kubaini mtandao wote. Tunashindwa kufanya kazi hata pale penye vaishiria vya wazi vya hatari iliyopo mbele yetu, je tutaweza sasa kubaini matukio ambayo yapo mengi ya harati ambayo hayana pa kuazia? wagaidi au amajambazi yanatamba, yanaiba silaha kwenye vituo vya polisi na hata kuwaua polisi lakini bado tunaendelea kusema tupo salama. Au kwetu ukosefu wa usalama ni vita tu?

hizi ni tabia za kutaka kujionyesha kuwa super star kwa jeshi la polisi kwa kukana vilivyo wazi. nadhani mabadiliko ya muundo wa jeshi hili yanahitajika haraka sana
 
Serikali inavuna ilichopanda.
Mabomu ya kanisani olasiti Arusha, mkutano ya CDM Arusha, mapadri kuuwawa Zanzibar, watu kumwagiwa tindikali, mauwaji morogoro, Mwangosi kule iringa yooote haya jeshi la polish halijui nani aliyafanya.

Hata yule gaidi mkuu Lwakatare alishinda kesi, sasa hivi vitoto vya msikitini vinawashinda polisi?

Serikali ya Tanzania itavuna ilichopanda.
 
JK amalize muda wake haraka. Ugaidi hujijenga sana katika mataifa mbalimbali ama kunapokosekana serikali au kunapokuwepo serikali dhaifu. Kupambana na ugaidi kunahitaji serikali madhubuti hasa, la sivyo tutajuta.
 
Back
Top Bottom