gsu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 3,461
- 711
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amrwasili muda huu hapa Ubungo Bus Terminal kuzungumza na madereva waliogoma na amelakiwa kwa shangwe kubwa sana.
Hakika ni shangwe kubwa hapa na madereva wanapaaza sauti kumtaka Mbowe awasaidie..
Taarifa zaidi zitafuata hivi Punde nikiwa na Kamanda Standalone kwenye msafara wa Mwenyekiti..
[h=2]CHADEMA kuasisi mgomo wa madereva ni kwa manufaa ya nani?[/h]
Kwa mda mrefu chadema wamekuwa na mipango mingi ya kuhakikisha kuwa serikali ya Rais kikwete inashindwa kutawala na hatimaye ianguke japo lengo lao bado halijafanikiwa kwa kiwango wanachotaka wao. hii ni kutokana na uimara wa Rais kikwete pamoja na viongozi wanaomsaidia katika kutekeleza majukumu yake.
kwa kurejea kidogo tu chadema wameweza kuasisi mandamano mengi haramu ambayo yalikuwa na lengo la kuvuruga nchi na kufanya isitawalike,kama haitoshi chadema pia walishirikiana na baadhi ya watu wakiwemo waroho wa madaraka katika tasisi za afya na kuaandaa mgomo wa madaktari ambao uliishia kwa baadhi ya madaktari wetu kupoteza kazi na kupotea kwa maisha kwa baadhi ya watu wetu.
Lakini pia chadema wamejaribu kuandaa mipango mingi ya kushinikiza watumishi kwenye kada nyingi wagome pasipo sabubu za msingi japo hawajapata mwitikio mzuri kutoka kwenye jamii.
Kwa sasa chadema wanahangaika na kuwashawishi madereva wagome kwa malengo yaleyale ya kusababisha serikali ichukiwe na watanzania ili wao wapate agenda ya kusema majukwaani,nimeweza kushuhudia kwa macho na masikio yangu baadhi ya viongozi wa chadema wakiongozwa na John Mnyika pamoja na Tundu Lisu wakiwa kwenye vikao na viongozi wa madereva wakiwataka wawashawishi madereva wenzao wagome kutoa huduma ya usafiri kwa lengo la kuikomoa serikali ya jk.
Jambo kubwa la msingi hapa ni kwamba serikali kazi yao ni kutengeneza barabara pamoja na miundo mbinu yote ambayo itawasaidia wasafirishaki kusafirisha abiria katika hali ambayo ni njema zaidi.
Mimi nijuavyo serikali hawahusiki na jukumu la usafirishaji jukumu hili liko mikononi mwa sekta binfasi. Hii ni baada ya serikali kujiondoa kwenye mambo ya kibishara na kuaachia sekta binafsi sasa iweje mnyika,Lisu na wafuasi wao wawashawishi madereva kudai madai yao serikalini wakati wakijua wao mwajiri wao siyo serikali?
Madereva lazima watambue kuwa mambo yao yanapaswa kupelekwa kwa waajiri wao wakajadili na kukubaliana namna nzuri ya utendaji kazi lakini siyo kulazima serikali ifanye kazi ya waajili wao.
Jambo kubwa linalo nisumbua ni kweli Lisu na mnyika hawajui kuwa madereva mwajiri wao siyo serikali? Je ni kweli mnyika na Lisu hawajui kuwa mikataba ya kazi ya madereva lazima ifanyike baina ya mwajiri wao na madereva husika?
katika hatua nyingine ambayo inafanya niwaze ni pale mnyika na Lisu wanapokuwa mstari wa mbele kutengeneza mgomo bila kujali watu wanateseka kiasi gani halafu wanajiita ni wapigania haki za watu.Nashindwa kuwajua hawa makamanda wao wanachotaka nini kwa watanzania manake kila wanachofanya lazima wapange mgomo bila kujua watanzania wanateseka kiasi gani.
Hili nalisema kwa ukweli kabisa nimeshuhudia vikao vya hawa waheshimiwa vikifanyika usiku kupanga hii mipango miovu isiyokuwa na tija kwa watanzania.
kwa kurejea kidogo tu chadema wameweza kuasisi mandamano mengi haramu ambayo yalikuwa na lengo la kuvuruga nchi na kufanya isitawalike,kama haitoshi chadema pia walishirikiana na baadhi ya watu wakiwemo waroho wa madaraka katika tasisi za afya na kuaandaa mgomo wa madaktari ambao uliishia kwa baadhi ya madaktari wetu kupoteza kazi na kupotea kwa maisha kwa baadhi ya watu wetu.
Lakini pia chadema wamejaribu kuandaa mipango mingi ya kushinikiza watumishi kwenye kada nyingi wagome pasipo sabubu za msingi japo hawajapata mwitikio mzuri kutoka kwenye jamii.
Kwa sasa chadema wanahangaika na kuwashawishi madereva wagome kwa malengo yaleyale ya kusababisha serikali ichukiwe na watanzania ili wao wapate agenda ya kusema majukwaani,nimeweza kushuhudia kwa macho na masikio yangu baadhi ya viongozi wa chadema wakiongozwa na John Mnyika pamoja na Tundu Lisu wakiwa kwenye vikao na viongozi wa madereva wakiwataka wawashawishi madereva wenzao wagome kutoa huduma ya usafiri kwa lengo la kuikomoa serikali ya jk.
Jambo kubwa la msingi hapa ni kwamba serikali kazi yao ni kutengeneza barabara pamoja na miundo mbinu yote ambayo itawasaidia wasafirishaki kusafirisha abiria katika hali ambayo ni njema zaidi.
Mimi nijuavyo serikali hawahusiki na jukumu la usafirishaji jukumu hili liko mikononi mwa sekta binfasi. Hii ni baada ya serikali kujiondoa kwenye mambo ya kibishara na kuaachia sekta binafsi sasa iweje mnyika,Lisu na wafuasi wao wawashawishi madereva kudai madai yao serikalini wakati wakijua wao mwajiri wao siyo serikali?
Madereva lazima watambue kuwa mambo yao yanapaswa kupelekwa kwa waajiri wao wakajadili na kukubaliana namna nzuri ya utendaji kazi lakini siyo kulazima serikali ifanye kazi ya waajili wao.
Jambo kubwa linalo nisumbua ni kweli Lisu na mnyika hawajui kuwa madereva mwajiri wao siyo serikali? Je ni kweli mnyika na Lisu hawajui kuwa mikataba ya kazi ya madereva lazima ifanyike baina ya mwajiri wao na madereva husika?
katika hatua nyingine ambayo inafanya niwaze ni pale mnyika na Lisu wanapokuwa mstari wa mbele kutengeneza mgomo bila kujali watu wanateseka kiasi gani halafu wanajiita ni wapigania haki za watu.Nashindwa kuwajua hawa makamanda wao wanachotaka nini kwa watanzania manake kila wanachofanya lazima wapange mgomo bila kujua watanzania wanateseka kiasi gani.
Hili nalisema kwa ukweli kabisa nimeshuhudia vikao vya hawa waheshimiwa vikifanyika usiku kupanga hii mipango miovu isiyokuwa na tija kwa watanzania.