Umoja wa wanavyuo vikuu Iringa wamuomba Edward Lowassa kugombea urais

Kama kweli style ya wasomi tuliyonao ndiyo hawa hakika Tanzania hatuwezi kusonga mbele. Yaani wasomi wanawaza kwa kutumia akili ya mtu!
Wanatumika vibaya hawa wanaojiita wasomi. Kwanza hawajui hata taratibu za kumpaata kiongozi huko CCM, wao wanaamini kelele zao ndiyo zitaishawishi NEC ya CCM kumchagua mamvi?
Waache upumbavu wafanye kilichowapeleka pale vyuo vya Kata.

Ata wewe nna wasiwasi na elimu yako.
 
Lowassa atainyiosha hii nchi hapa ilipofokia imepinda tuache ushabiki jamani huyu Jamaa hana kuremba
 
UDSM hawawezi kuandamana kwa jambo lolote lenye manufaa kwa Taifa .Chuo kikuu kwa sasa kimegeuka kuwa chuo cha mafisadi.
Hao waliopata division one wengi hapo Udsm ni watoto waliosoma shule bora za Private.
UDSM kimejawa na wanafunzi wasio na umoja .Wanafunzi wa udsm wamekua wakifanya uchaguzi wa serikali ya wanfunzi kwa kutumia rushwa kubwa sana

Na pia ukumbuke kuwa UDSM cha miaka ile hakipo tena.
Hawana msaada wowote kwa watanzania wanyonge.
Mapendekezo ya rasimu ya katiba ya warioba yamechakachuliwa lakini hatukuona wanafunzi wa Udsm hata wakitoa tamko la kulaani.

Viongozi wa serikali ya wanafunzi wa UDSM wengi wameahidiwa scholarship na kupatiwa ajira na waziri Membe na January ili tu washawishi wasomi wamuunge mkono.

Jambo lingine ni kuwa pale UDSM malecturer wengi ukianza na mkuu wa chuo msaidizi ni makada wa CCM.
Mwanafunzi ukiandamana ujue imekula kwako.Matokeo yake tunazalisha wasomi waoga wasioweza kusimama na kusema kile wanachokiamini.

pole kwa kukosa nafasi ya kujiunga na kisima cha maarifa the home of intellectual University of da re salaam.ni lazima ukubali kwamba si kila anayetaka au kutamani kusoma udsm anapata nafasi hiyo.Vigezo na masharti huzingatiwa.pole sana umeongea kwa uchungu Sana.Viva udsm
 
Kama kweli style ya wasomi tuliyonao ndiyo hawa hakika Tanzania hatuwezi kusonga mbele. Yaani wasomi wanawaza kwa kutumia akili ya mtu!
Wanatumika vibaya hawa wanaojiita wasomi. Kwanza hawajui hata taratibu za kumpaata kiongozi huko CCM, wao wanaamini kelele zao ndiyo zitaishawishi NEC ya CCM kumchagua mamvi?
Waache upumbavu wafanye kilichowapeleka pale vyuo vya Kata.

Ivi unaelewa maana ya chuo au unaropoka tu.. Primary ni sehemu ya kwenda kujifunza kusoma na kukua.
Secondary sehemu y kwenda kuwekwa sawa kupambana na kipindi cha baleghe.
Advance ni kwenda kuandaliwa kuwa mtu mzima na kujiandaa na changamoto.
University ni sehemu ya kuongeza maarifa na kuanza maisha halisi.
Sasa ni ujingaa tena upumbavu kuona mtu mzima akimkosoa mwanachuo tena wa degree pale anapotoa maamuzi kwa uelewa wake.
Ujinga ujinga UACHE university usipotoa maamuzi basi huna pengine maana hapo ndo safari ya maisha imeanza.
Shwaiiiiiiiiiiiiiiiiin.....!!™!!!
 
Mi nasubiri tu nyie team Neppi muweke mgombea wenu hadharani... hamtakaa humu. endeleeni kumkashifu Raisi wetu EL. Mtakuja kula matapishi yenu.
 
Wanavyuo hao wapatao 1500
walioungana toka vyuo vikuu na vyuo vya kijamii Iringa wamesema kuwa
wanamuomba Lowasa agombee uraisi na wako tayari kumuunga mkono.
Wameyasema hayo wakiongea na waandishi wa habari wakati wakijitolea damu
na kufanya usafi ktk hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa.

Source: ITV habari
njaa inawasumbua, poleni
 
Of all the people Lowasa ndiye anombwa sijui anashawishiwa kutangaza nia wakati maandalizi ya kuutaka urais aliyaanza siku Kikwete alipoapishwa kuwa rais.
Ni wale tu waliojitoa ufahamu ndio wanajifanya vipofu na kuendeleza sarakasi za kekundu
Nani asiejua kuwa Lowasa amewekeza kisawasawa katika project hii yakuwania urais sidhani kama kuna mtu yeyote hapa nchini aliyeukamia urais kama yeye,hapo alipo bila shaka ameshawahidi watu vyeo,lakini endapo ataukosa urais litakuwa ni pigo kubwa sana kwake na uenda likamuhathiri sana kisaikolojia.
Salaam zangu kwa wanaojipendekeza kumuomba Lowasa agombee urais,ni tangu lini fisi mwenye njaa anayefuatilia mkono wa mtu udondoke aule akapelekewa mkono huo huo kwenye kisahani cha dhahabu halafu akaulizwa kama anautamani
.
 
bumu limeisha sasa wanachuo walipoona 5000 wamesahau hata ugumu wa maisha yao.division 5 ina matatizo sana kwa jamii ya leo.uliza chuo anasomea nini wengi wa certificate
 
1. Ilikuwaje hao wanavyuo kutoka vyuo Tofauti wakutane kwa pamoja, sehemu moja na wakati uleule, kwaajili ya Shughuli moja ?

2. Nani kawasafirisha wanafunzi hao?

3. Waandishi wa Habari nani kawajulisha wafike eneo kusudiwa?


N:B,

Nilisema Hapo awali kupitia post niliyoitoa kuwa Team Lowasa & Friends of Lowasa ni vikundi vya kupigia pesa. Haina shaka kuwa huyu mzee atawehuka na kuchanganyikiwa completely pale atakapoukosa urais. Pesa inasambazwa kama mchanga, watu wanakusanywa huku magari yakiwa tayari yameshakodiwa, Zawadi za wagonjwa zikiwa zimeandaliwa, waandishi wa Habari wakipokea bahasha zao na viongozi wa vikundi wakiwa wameweka kibindoni kiasi kikubwa cha pesa. Huku ni kuwafanya wasomi matahira kwa kutumia nguvu ya pesa.

Simple mathematics; tuangalie maeneo yanayozunguka vyuo hivyo ni chama gani kimepata viti kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
tupo nao kwenye pombe ya ulanzi kila siku kweli wanaweza kufikiri hawa ndio madhara ya vyuo vya kata
 
Naandika haya nikiwa na uchungu mkubwa sana! Vijana wa sasa hivi wamekuw ana bei rahisi kama peremende! na mbaya zaidi ni kwamba ni vijana hawa hawa wanaojiita wasomi wa elimu ya juu....inanisikitisha sana mimi kama kijana niliyeko huku chuoni! Juzi wahuni flani wamejikusanya hapa Mwanza wakatangaza eti wanamhunga mkono jamaa.....alafu hyo habari ilikanushwa kwenye vyombo vya habari mbalimbali lakini kwa kuwa waandishi walishatumwa na kupewa chao...hakuna kituo chochote kilichoonesha hyo habari! Leo eti umoja wa wanavyuo Iringa....swali ni je...kuna uhusiano gani kati ya kufanya usafi na kumtaka mtu agombee urais? Natahadharisha jamii nzima kwa ujumla ipinge mara moja haya mambo ya vijana wetu kutumika kama mifuko ya kubebea bidhaa sokoni maana madhara yataoonekana pale baadaye poale ambapo taifa litakuwa na vijana wanaojiita wasomi kumbe ni uchwara hawawezi kufanya maamuzi yao binafsi bila kutegemea upande fulani kwa sababu wanazozijua wao....vbijana acheni njaaa...someni na kufanya kazi ...m,nakera sana





1
 
Kuna jamaa mmoja leo nimemuona akiongea kwenye ITV kuwakilisha hao wanafunzi wenzake wa vyuo vikuu vya iringa , yule jamaa nilibahatika kusoma nae shule moja hapo siku za nyuma , kwa kweli alikuwa ni kilaza ambaye sijawahi kuona kwnye haya maisha mpaka sasa hvi, hii inaonyesha ni jinsi gani hawa wafuasi wa huyu lowassa walivyo vilaza na wajinga wanaoburuzwa na umasikini wao wa mawazo na fikra , naomba vyuo vikuu visimame haraka na kupinga hizi kauli zinazotolewa na hawa wajinga wachache
 
Wasichokijua hao wanafunzi ni kwamba mihemko waliyonayo sasa inawatesa sana watu fulani ambao 2005 walihemka kama wafanyavyo wao sasa.

2005 hadi sasa ni miaka 10, unafikiri mwanafunzi wa mwaka wa tatu sasa. hivi alikuwa darasa la ngapi??!!

Wengi bado hawana uwezo wa kutumia platform yao. Kwa bahati mbaya hawatakuwa pamoja tena watakapokuwa wanaugulia maumivu.. maana wengi pangu pakavu lakini sasa hivi kwenye makundi kelele kibao wakati unayempigia debe ndio kakuona kwenye tv kwa mara ya kwanza!
 
Watu wenye akili timamu kabisa hurudi kwenye historia na kujiuliza maswali ya MSINGI hao ndio tunao waita intellectuals,kwa mfano kama wasomi tungejiuliza Sakata la EPA ,Mkataba wa RICHMOND na UBADHILIFU Mwingine kama sakata la Akaunti ya tegeta ESCROW.Swali Je nani amewahi kumuona LOWASA EDWARD Akizungumzia haya mambo yaliyolitesa TAIFA ndani na nje ya Bunge.Tukiweza kujibu na hayo hapo Tutajua tunachokiomba.HAO wanaojiita wanavyuo Wanaoandamana kutaka Lowasa achukue fomu ya urais si WASOMI kama tunavyodhani ni Wapiga Debe na Wahuni wa mitaani .Maana wangekuwa wasomi wangejiuliza maswali ya msingi ya KISOMI na Pia wangejiuliza kwa nini LOWASA mwenyewe Hajawahi kukanusha TIHUMA zilizomkabili MBELE ya macho ya Watanzania.HIVI Vijana mmechoka Kufikiri na kwamba kazi hamzioni kabisa na kwamba lowasa ndio amewabebea kazi zenu,HUU NI UJINGA NA UPUMBAVU UPITAO UPUUZI WOTE.Tabia ya kutaka wezi ndio waongoze nchi hii kamwe Hatutapiga hatua kimaendeleo,Maana VYUO vinaonyesha wazi KABISA kutokuwa na Faida TENA maana HAVIZALISHI TENA GREAT THINKERS Zaidi ya kuzalisha MAMBULULA,VICHWA MAJI,VIHIO ,na MAKANJANJA Wasio na FAIDA KWA TAIFA LETU na kama kufikiri kwetu ndio huko Kuwahitaji WEZI KUWA VIONGOZI WETU Basi USEMI WA WAZUNGU NI WA KWELI kwamba BARA HILI NI LA GIZA.TUACHE UJINGA TUSOME KWA UHALISIA KAMILI NA TUSITUMIKE KAMA TOILET PAPER Kuendelea kunufaisha wezi,TUKOME KABISA MAANA TUYAFANYAYO NI MACHUKIZO HATA KWA MUNGU WETU.
 
Kama kweli style ya wasomi tuliyonao ndiyo hawa hakika Tanzania hatuwezi kusonga mbele. Yaani wasomi wanawaza kwa kutumia akili ya mtu!
Wanatumika vibaya hawa wanaojiita wasomi. Kwanza hawajui hata taratibu za kumpaata kiongozi huko CCM, wao wanaamini kelele zao ndiyo zitaishawishi NEC ya CCM kumchagua mamvi?
Waache upumbavu wafanye kilichowapeleka pale vyuo vya Kata.

msomi ni kuchagua ukawa???
 
Watu wenye akili timamu kabisa hurudi kwenye historia na kujiuliza maswali ya MSINGI hao ndio tunao waita intellectuals,kwa mfano kama wasomi tungejiuliza Sakata la EPA ,Mkataba wa RICHMOND na UBADHILIFU Mwingine kama sakata la Akaunti ya tegeta ESCROW.Swali Je nani amewahi kumuona LOWASA EDWARD Akizungumzia haya mambo yaliyolitesa TAIFA ndani na nje ya Bunge.Tukiweza kujibu na hayo hapo Tutajua tunachokiomba.HAO wanaojiita wanavyuo Wanaoandamana kutaka Lowasa achukue fomu ya urais si WASOMI kama tunavyodhani ni Wapiga Debe na Wahuni wa mitaani .Maana wangekuwa wasomi wangejiuliza maswali ya msingi ya KISOMI na Pia wangejiuliza kwa nini LOWASA mwenyewe Hajawahi kukanusha TIHUMA zilizomkabili MBELE ya macho ya Watanzania.HIVI Vijana mmechoka Kufikiri na kwamba kazi hamzioni kabisa na kwamba lowasa ndio amewabebea kazi zenu,HUU NI UJINGA NA UPUMBAVU UPITAO UPUUZI WOTE.Tabia ya kutaka wezi ndio waongoze nchi hii kamwe Hatutapiga hatua kimaendeleo,Maana VYUO vinaonyesha wazi KABISA kutokuwa na Faida TENA maana HAVIZALISHI TENA GREAT THINKERS Zaidi ya kuzalisha MAMBULULA,VICHWA MAJI,VIHIO ,na MAKANJANJA Wasio na FAIDA KWA TAIFA LETU na kama kufikiri kwetu ndio huko Kuwahitaji WEZI KUWA VIONGOZI WETU Basi USEMI WA WAZUNGU NI WA KWELI kwamba BARA HILI NI LA GIZA.TUACHE UJINGA TUSOME KWA UHALISIA KAMILI NA TUSITUMIKE KAMA TOILET PAPER Kuendelea kunufaisha wezi,TUKOME KABISA MAANA TUYAFANYAYO NI MACHUKIZO HATA KWA MUNGU WETU.


umeandika kwa mbwe mbwe nyingi lakini nakusihi ujipangeee
 
Huo ni ujinga tu,kwa nn wasiwe specific ni vyuo vp, maana iringa kuna vyuo vingi sana vya utalii na sifa ni kumaliza form 4 kufauru au kufail haiwahusu unaingia tu
 
Back
Top Bottom