Msajili wa Vyama vya Siasa: Nitavifuta CHADEMA na CUF

Hizi ni approach mbaya katika masuala yanayoweza kuleta machafuko.Jambo likishaingia kwenye katiba ili kulitoa inabidi ku-negociate sio kutishia,hatutaki vurugu tunahitaji maamuzi ya kujenga amani kwa gharama yoyote.
 
hqdefault.jpg

Green Guard Zanzibar ni Imara zaidi ya Chuma.​
images

wana watesa tu watoto wa masikini,hapo huwezi kukuta mtoto wa waziri,balozi wa katibu mkuu wa wizira, ila wa mwenyekiti wa kitongoji,mlima nyanya,mfuga kuku. Mchoma vitumbua nk
 
acha usanii wako

Usanii uko wapi?tatizo lenu hamna elimu hao waandishi wako wa darasa la 7.

Nchi yetu hatutaki fujo acha kabisa wewe hata redio huna mwezako anakujudha unaleta masaburi yako hapa Mkuu tumbo kubwa hilo lina punguza uwezo wakufikiri
 
Kila mtanzania anawajibu wa kulinda mipaka ya nchi na ndani

Msajiri unakuja na yako ya kusema Ulinzi ni kazi ya Polisi, Je kipindi CCM wanakikundi chao cha ulinzi na kutumika kuwapia wapinzania hukuwa unaliona hili? au mnajiandaa kuwapiga tena mwaka huu? msajiri ongea na CCM, pamoya na PoliCCM walinde kwa haki siikwa upendereo kama wanavyo fanya,:boxing::boxing:, umbea hatutaki:A S-rap::deadhorse: haki itendeke, Polisi kama ni haki yao kila Mtanzania atoe Panga lake ndani, kila mtanzania anae miliki Bunduki airudishe aliko itoa Polisi watamlinda.
 
  • Thanks
Reactions: Gor
Kila mtanzania anawajibu wa kulinda mipaka ya nchi na ndani

Msajiri unakuja na yako ya kusema Ulinzi ni kazi ya Polisi, Je kipindi CCM wanakikundi chao cha ulinzi na kutumika kuwapia wapinzania hukuwa unaliona hili? au mnajiandaa kuwapiga tena mwaka huu? msajiri ongea na CCM, pamoya na PoliCCM walinde kwa haki siikwa upendereo kama wanavyo fanya,:boxing::boxing:, umbea hatutaki:A S-rap::deadhorse: haki itendeke, Polisi kama ni haki yao kila Mtanzania atoe Panga lake ndani, kila mtanzania anae miliki Bunduki airudishe aliko itoa Polisi watamlinda.
Msajili yule sijui sheria yake kasoma wapi,red brigade ni kikosi cha vijana wa chama wanachama wenye kazi ya kulinda viongozi na mali ya chadema basi, mbona ccm wanayo na wanateka watu na kuwapiga ....chadema kataeni upumbavu huo mna haki ya kujilinda kama taasisi....tena waapeni na bunduki,bunduki si inamilikiwa tu kisheria,tunataka kuona viongozi wa chadema na mali zake sasa zinalindwa na walinzi wa chama wenye silaha.
 
.... Si Bora Kupima Kina Kwa Mguu Mmoja, Yeye Anaingiza Miguu Yote Miwili Kwenye Maji Yaendayo Kasi Eti Anapima Kina Ili Avuke. Hahaha

Yaani huyo pimbi anachekesha kweli, anataka kutu-delete sisi wananchi! Chadema ni wananchi na Chadema haifutiki!
 
Msajili wa Vyama vya Siasa, amedai wote watakao kiuka kuvunja vikundi binafsi vya ulinzi vya vyama hivo atavifuta.

Amedai kama Katiba zao zinatambua jambo hilo walifanyie mabadiliko haraka.

Tamko hill limetolewa kwa ushirikiano wa IGP Mangu kwa niaba ya Jeshi la polisi na ofisi ya msajili.


My Take.

Niwazi kwa ubishi wa CHADEMA bila shaka kitafutwa katika medani za siasa.

=========================================




Chanzo: Mwananchi
Kama anajijua ana uwezo huo anasubiri nini asivifute? Sio kukalia manenon ya khangani kama mcheza kigodoro wa kwamfugambwa
 
Hoja Hii Si Nyepesi Lama Anavyofikiri Maana Nyuma Ya Cu3 Na Cdm Kuna Mamilion Ya Watu Aangalie Asije Akaleta Machafuko
 
Kama anajijua ana uwezo huo anasubiri nini asivifute? Sio kukalia manenon ya khangani kama mcheza kigodoro wa kwamfugambwa

Mkwere amei haribu SANA hii nchi kila mtu kwenye sirikali amekuwa mwimba taarabu na vigodoro,maneno ya kuropoka ropoka kibaaao!!!
 
Tangu serikali hii ianze kuongoza,nchi ni kama imerejeshwa kwenye mfumo wa chama kimoja.Shughuli za vyama vya siasa zimepigwa maarufuku.Wananchi,wanasiasa na viongozi wa vyama vya siasa hawana Uhuru katika taifa lao.
Mutungi anajua hili,lakini amekuwa kimya.

Jaji Mutungi,msajili wa vyama vya siasa,hajali.Yuko bize kutishia kufuta Chadema.

Ukimya wa Mutungi unadhirisha kuwa yeye ni sehemu ya mpango haramu wa kuzuia Uhuru wa vyama vya siasa katika taifa.Anatumwa au anajituma kwa maslahi yake ya sasa na baadaye.

Mutungi alianza kutumika kutengeneza,kuimarisha na kuendeleza mgogoro ndani ya chama cha wananchi-CUF.Mutungi alijua kabisa Lipumba hana uhalali wa kisheria kwa kurejea kuwa mwenyekiti baada ya kujiuzulu 2015.Anajua migogoro ndani ya CUF ungemalizwa kwa utashi wa vikao vya uongozi wa CUF.

Alihakikisha ofisi yake inamtambua Lipumba kinyume na utaratibu huku akijua si kazi ya ofisi yake kumtambua au kumrejesha ofisini kiongozi wa chama cha siasa tena aliyejiuzuru.

Mkakati huu ovu wa Mutungi ulipanua mgogoro na sasa umeiacha CUF Vipande vipande-CUF ya Lipumba na CUF ya Maalim Seif.Ndivyo alivyotaka Mutungi,anajiita mlezi wa vyama vya siasa.Kwa ilivyo CUF sasa ni kama vile imekufa.CUF haiko kama ilivyo zamani.Hii ndio raha ya Mutungi.

Sasa Mutungi amemaliza kazi yake kwa upande wa CUF,amehamia rasmi kuendeleza kazi yake,anatamani kufuta Chadema kwa sababu ni Chama kikuu cha upinzani kinachoogopwa na chama tawala.

Mkt wa chama tawala ametumia kofia ya urais kufuta shughuli mikutano ya vyama vya siasa kinyume na Katiba.Msajili wa vyama siasa naye anatishia kufuta vyama vya siasa.

Mutungi alianza kujiingiza taratibu kwenye mgogoro wa CUF,akafanikiwa.Sasa ameanza kuifuatilia Chadema.Anakoenda Mutungi kunajulikana.Anaharibu.

Kazi anayofanya Mutungi,haina tina kwa taifa Bali inaweza kuliingiza taifa kwenye matatizo makubwa sana.Mutungi azuiliwe,yupo kwa ajili ya kuvuruga taifa.Amepoteza sifa ya kuwa mlezi wa vyama vya siasa.Katika zama hizi za demokrasia ukiona mtu mzee aina ya Mutungi anafikiria kufuta vyama vya siasa,anazeeka vibaya au amepitwa na wakati.
 
Back
Top Bottom