Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,446
- 977
Duh kama kweli ndio awa.. Mbona ule mfumo wanaosema ndio tatizo umeharibiwa na awa awa.. Si wanaamishia majeshi tu upande wa pili!
Magufuli akiingia ikulu atakubali kukaa bila kula ili njaa imtese akiwa ikulu? tafakari