Daktari aliyewaambukiza wagonjwa 200 virusi vya ukimwi nchini Cambodia amehukumiwa jela.
Daktari huyo bandia alipatikana na hatia ya kuwaambukiza takriban watu 200 virusi vya ugonjwa wa Ukimwi amehukumiwa kifungo cha miaka 25 jela kwa makosa yake.
Baadhi ya wahasiriwa wa makosa hayo wamekwisha...
NAMNA WAZAZI WA NAVYOONGEA NA MABINTI ZAO KATIKA UMRI TOFAUTI!
Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
Miaka...
Habari za muda huu wana JF,
kuna jmaa yangu flani anafanya biashara za vifaa vya electronics vilivyotumika maarufu kama used, juzi nilipita nikakuta kaingiza mzigo mpya katika kuchagua nikakutana na laptop moja ya ukweli ikiwa na windows yake na haina loki wala nini. ila tatizo ni kua hiyo...
Jeshi la Polisi mkoani hapa limemkamata na kumfikisha mahakamani Halima Sanga au Halima Hamadi mkazi wa jijini Dar es Salaam, kutokana na kosa la kughushi vyeti na kujipatia ajira serikalini ya udaktari wa daraja la pili kwa njia ya udanganyifu, akijulikana kwa jina la Dkt. Sarah Matuja...
Kuna dada mmoja alikua antoka kazini mida Kama saa nne na nusu usiku, ghafla njiani akakutana na vijana wanne wa kiume wakampiga makofi na kutaka kumbaka.
Yule dada kuona vile ikabid ajiteteee.
dada: jamani mnataka kufanya nini..?
kijana 1: nyamaza wewe msh***
kijana2: uanjifanya hujui tunataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.