Salaam
Inahitajika haraka
Madini ya chuma,shaba, lithiamu, risasi ya zinki.
Muhimu
Umesajiliwa Brela
Unalipa kodi
Una lessening ya biashara
Uthibitisho wa uwezo wako wa ku supply
Nipigie
0784899244
Greetings.
Urgent needed in large quantities
iron ore,
copper ore,
lithium ore,
lead...
Je Mimi Ni mraibu
Hili linaweza lisiwe jambo rahisi kufanya.
Katika kipindi chetu chote cha utumiaji,
tulijiambia, “naweza kuhimili.” Hata kama
hili lilikuwa kweli mwanzoni, sio hivyo sasa.
Mihadharati ilitutawala sisi. Tuliishi kutumia
na tulitumia ili tuishi. Kwa ufupi, mraibu ni...
Je Mimi Ni mraibu
Hili linaweza lisiwe jambo rahisi kufanya. Katika kipindi chetu chote cha utumiaji, tulijiambia, “naweza kuhimili.” Hata kama hili lilikuwa kweli mwanzoni, sio hivyo sasa.
Mihadharati ilitutawala sisi. Tuliishi kutumia na tulitumia ili tuishi. Kwa ufupi, mraibu ni mtu ambaye...
Shalom wapendwa
Kumekwa na ongezeeko kubwa la Watoto wa wachungaji na maaskofu kuharibikiwa kutokana na utumiaji wa mihadarati na ulevi wa kupindukia. Hii inatokana na vita kali ya Shetani ili kudhoofisha nguvu ya Kanisa.
Utumiaji wa dawa za kulevya na Pombe kupita kiasi huja na dalili...
Salaam,
Kumekwa na ongezeeko kubwa la vijana wetu kuharibikiwa kutokana na utumiaji wa mihadarati na ulevi wa kupindukia. Hii inatokana na changamoto za kimaisha kama vile kuvunjika kwa ndoa wakati wa utotoni, Malezi ya mzazi mmoja, Kufiwa katika umri mdogo, Kunyanyaswa hasa kunyanyaswa...
Salaam,
Kumekwa na ongezeeko kubwa la vijana wetu kuharibikiwa kutokana na utumiaji wa mihadarati na ulevi wa kupindukia. Hii inatokana na changamoto za kimaisha kama vile kuvunjika kwa ndoa wakati wa utotoni, Malezi ya mzazi mmoja, Kufiwa katika umri mdogo, Kunyanyaswa hasa kunyanyaswa...
Salaam
Naunga mkono Tangazo hili ni kweli baadhi ya watu sio waaminifu katika kufanya baishara
Ushauii
Endapo unafanya Biashara mtandaoni Tafadhali fanya yafuatayo:
Tambua Jina halisi la Muuzaji ikiwezekana muombe nakala ya kitambulisho cha taifa au uthibitisho wowote halali kuwa ni yeye...
Salaam wana Jamii Forums
Nina uhitaji sana wa nyumba ya kupanga
Eneo la Uzunguni, Kisiwani, Vjibweni
Vyumba viwili na sitting room kimoja au vyote viwe Master
iwe ndani ya uzio
Kuwepo na Maji na umeme
Umbali kutka barabarani usizidi 1 kilometer
Bajeti yangu ni laki 2 kwa mwezi fungu...
About Softbridge Technologies and Consultancy (SOTEC)
Softbridge Technologies and Consultancy (SOTEC) is a Private Information and Communication (ICT) Company, which was registered on 01st June, 2009, by Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) under Business Names Act (Cap 213). we...
Hii sio sahihi, Kama na wewe una neno ambalo sio sahihi tafadhali tujulishe pia
1 Chips mayai = Viazi na mayai
2 Shule ya Sekondari = Shule ya upili
3 Tochi= Kurunzi
4 Dingi = Baba
6 Kompyuta = Tanakirishi
7 Shelli= Kituo cha mafuta
8 Saluni
9 Simu = Kilonga Longa
10 Tivii= Runinga
12 Stendi=...
POST TRAUMATIC STRESS DISORDER
(PTSD)
Overview
Post-traumatic stress disorder (PTSD) is a mental health condition that's triggered by a terrifying event — either experiencing it or witnessing it. Symptoms may include flashbacks, nightmares and severe anxiety, as well as uncontrollable thoughts...
Salaam Dejavu
Naitwa Sam
Nimefurahi sana kwa swali lako zuri ambalo sio wewe tu ambaye umekuwa ukijiuliza sana swali hili "Kwa nini mateja sio rahisi kuacha kutumia dawa za kulevya?" Majibu ni haya
Uraibu
Kama unavyofahamika pia kama Uteja ni ugonjwa unaotokana na mabadiliko katika neva za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.