Ndugu zangu naombeni ushauri hata mwezi sina kazin ila niliowakuta kazini tumetokea kutofautiana kimtazamo na maono sasa imekua kama vita kazini kila kazi wanataka mimi nifanye eti kisa mimi ni Engineer.
Kazi nilipata kwa interview nikaambiwa mafundi wapo wazoefu tu ila hawana plan ya kazi so...
Ndugu wanajamii forum baada kuchoka kuajiliwa nimeona nijiajili mwenyewe na kampuni yangu mpya ya usafi, napenda kutambulisha kampuni yangu mpya iitwayo usafitz company , kampuni hii inahusika na huduma zifuatazo;-
1. Usafi wa seat za gari kwa kutumia sabuni safi na machine maalum ya usafi iwe...
Ndugu zangu nataka nifungue duka la vifaa vya umeme mbeya chunya, mwenye uzoefu na hii biashara anipe ABC
Taa za ndani
Flexible wire
Switch socket
Extension
Taa za nje
Etc
Kuna brand nyingi tz lakini ukisearch hata google haitambuliki, hawana official website hata weekpedia hawapo je tv hizi ni fake, mfano ni bravo, aboder, mr uk, goodvision, sundar, alitop
Jamaaan nina shida sana hio hela godoro inch 8 kwa laki tu niende kufanya interview
Godoro Comfy 5 * 6 inch 8 limetumika miezi nane tu bei tsh 120,000
Bei imeshuka 100,000
0762165498
0778444669
Liko Mabibo karibu na soko la Engo
Ona jinsi alivyomuattack barba. Huja jamaa ndo wale madalali njaa
"
Endelea hapa
"Kuna shida kwa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba pengine labda ninyi hamjaigundua, Mtendaji Mkuu na karibia panel yake wana changamoto ya kuhitaji zaidi camera 'publicity' kuliko mambo muhimu
Niwaambie tu kwa...
Ram 3gb
Rom 32gb
NETWORKTechnologyGSM / HSPA / LTE
BODY Dimensions142.1 x 70.1 x 7 mm (5.59 x 2.76 x 0.28 in)
Weight132 g (4.66 oz)BuildGlass front (Gorilla Glass 4), glass back (Gorilla Glass 4),
aluminum frame
SIMNano-SIM
Samsung Pay (Visa, MasterCard certified)
DISPLAYTypeSuper...
Almost New 200,000 Tsh.
Unic uc26 complete full boxed.
Key Features
Brightness: 1200 Lumens (International) equivalent to 120 Lumens (US)
Native Resolution : 800*480P | Contrast: 800:1 | Image size 36-130 Inches
Portable Design, Easy To Take And Travel
Connect your PC/Laptop/DVD Player to...
Hizi ni taarifa nzuri kwa timu ya utopolo ni baada ya jana CAF kuziondoa timu za libya kwenye clab bingwa Africa na kombe la shirikisho kutokana na ligi hiyo kusimama kwa misimu miwili hivo ni wazi sasa tanzania wenye point 14 tukachukua nafasi ya libya.
Football clubs in Libya have been...
Huu mkataba uliosainiwa na serikali za kikoloni . Je kuna haja ya kuuvunja?
Nimekua nikijiuliza kwa muda mrefu kwanini hatutumii ziwa victoria kwa umwagiliaji lakini huko misri wanatumia kwa kila kitu na wanategemea 100% ya maisha mto nile ambayo chanzo chake ni ziwa victoria na kuzalisha umeme...
Tokea mwinyi aje hapa bongo kufundisha club ya yanga tunaona club ya tp mazembe ikisajili vipaji vya tz hivo nafikiri mwinyi zahera is behind the scene. Pia wanasimba walimtuhum kuwaspy kwenye masindano ya club binga dhidi ya as vita na tp mazembe na simba kuchezea kipigo kitakatifu toka kwa...
Mke wangu ana mimba ya week 11, jana nimemaliza show nilipiga ya kibabe asubuhi akasema ameona matone ya damu
Sasa jioni pia imeendelea kutoka, roho inaniuma sana ndo tunapoteza kiumbe chetu daah inaniuma sana wakuu ndo alikuwa wa kwanza huyo.
Pili anasema hasikii maumivu yoyote yale ila damu...
Habari zenu wakuu naomba msaada kuhusu hii bank.
Kuna mtu kanambia hii bank inatoa mkopo bila kutozwa riba, yaan nikope 1 million after one year ntarudisha 1 million.
Mimi nikamuuliza kama wanafanya hivo je hawajiendeshi kwa hasara? Maana kuna gharama mbalimbali na kodi za serikali, mishahara...
Wakuu hili jukwaa ni la ajira na kazi sikatai, lakin kuna hii tabia members kuanzisha thread hovyo hovyo eti nataka kazi sijui nina diploma ya civil, procurement mara degree ya telecom etc ni ujinga tena kwa msomi kama wewe.
Hivi unafikiri kuna watu wangapi wesoma kama wewe na wanatafuta kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.