willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,026
- 1,179
Mke wangu ana mimba ya week 11, jana nimemaliza show nilipiga ya kibabe asubuhi akasema ameona matone ya damu
Sasa jioni pia imeendelea kutoka, roho inaniuma sana ndo tunapoteza kiumbe chetu daah inaniuma sana wakuu ndo alikuwa wa kwanza huyo.
Pili anasema hasikii maumivu yoyote yale ila damu ni nyepesi na sio mabonge mabonge.
Msaada ushauri jamani nataka kesho twende hospitali
Mrejesho
Mimba bado ipo ila doctor kanambia asifanye kazi ngumu kubeba maji nk na pia hardcore kasema sio nzuri kwenywe mimba changa
Sasa jioni pia imeendelea kutoka, roho inaniuma sana ndo tunapoteza kiumbe chetu daah inaniuma sana wakuu ndo alikuwa wa kwanza huyo.
Pili anasema hasikii maumivu yoyote yale ila damu ni nyepesi na sio mabonge mabonge.
Msaada ushauri jamani nataka kesho twende hospitali
Mrejesho
Mimba bado ipo ila doctor kanambia asifanye kazi ngumu kubeba maji nk na pia hardcore kasema sio nzuri kwenywe mimba changa